Hii swala limenishangaza, watu walishabikia wakijua jamaa atasajiliwa kumbe alienda kufanya tangazo la Utalii, Ni kwenye ile mechi ya Man Utd v Seatle,,source Bin Zubeir
Wewe wa wapi hata huendi na wakati? Blog ya Bin Zubeiry ni pipa la takataka, viongozi wa Yanga walishatuzuia sisi mashabiki wa Yanga kuifungua hiyo blog, tangu wakati huo tumeachana naye, na wewe tunakuomba unapokuja na hoja zako zingatia kuwa sisi wana Yanga hatutaki kuona source ya Bin Zubeiry, umeelewa Mkuu?
makoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee....
Hii swala limenishangaza, watu walishabikia wakijua jamaa atasajiliwa kumbe alienda kufanya tangazo la Utalii, Ni kwenye ile mechi ya Man Utd v Seatle,,source Bin Zubeir