Kumbe ndio maana hamuolewi!!!

Stigma arround sex is gradually fading! Sasa kufanya ngono inaonekana kama starehe ya kawaida kama zilivyo starehe zingine. Kwa hiyo si ajabu hata kina dada wanatafuta ngono kwa ajili ya kujifurahisha tu.

Hili ni jambo jema kabisa kwa binadam kwani sasa ndoa inazidi kuonekana kama muunganiko wa juu zaidi badala ya muunganiko wenye lengo la kutafuta raha ya ngono.

Mwelekeo ni kuwa itafikia mahali sex freedom itamaanisha kuwa kuoa au kuolewa litakuwa jambo la kizamani, yaani mduara unarudi huko nyuma tulikoanzia. Inaelekea evolution inawapa nafasi zaidi wanaume na wanawake wanaofanya ngono kwa uhuru zaidi ndo maana wote tunazidi kurithi vinasaba (genes) za kuturuhusu kuvumilia zaidi ngono huru. Ukijumlisha na maendeleo makubwa katika sayansi na tiba ambayo yameondoa magonjwa mengi ya zinaa (Gono na Kaswende yalikuwa magonjwa mabaya enzi zake kuliko ukimwi ulivyo leo), kuna uwezekano huko mbele binadam tukawa kama 'Bonobo Chimpanzees' ambao kusalimiana tu jike na dume lazima wapeane miili yao.
 
enzi zenu kulikuwa hakuna watoto nje ya ndoa?
Ni kweli maadili yameshuka, lakini umefikiria hali ya maisha ya sasa na ya zamani? Maisha magumu mwanaume hakurupuki kwenda kuoa hadi ajipange. Tofauti na 'enzi zenu' za riziki huletwa na Mungu.

Hizo enzi zenu wanaume walikuwa wanajiamini,wana uthubutu wa kupambana na maisha tofauti na wanaume wa enzi zetu hz vijana wa kiume wanataka kulelewa, mariooo. .

Enzi zenu heshima ya mwanamke inapimwa kwa ndoa. Enzi zetu heshema ya mwanamke/mwanaume inapimwa na tabia. Regardless ameoa/ameolewa au hajaoa/hajaolewa.

Hebu waacheni wanawake wapumue. Kha!
 
Na kwa hali inakoelekea vinasaba (Genes) vya WIVU WA MAPENZI vitaondoka duniani, kwani evolution itazidi kuwapa nafasi zaidi binadam walio tayari ku-changia mapenzi kuliko wale wanaopenda "EXCLUSSIVITY". Hii ni kwa sababu kuishi mijini kunafanya binadam awe na uwezekano wa kukutana kwa urahisi zaidi na mwenzie wa jinsia tofauti ambaye si ndugu yake.

Kwa kawaida evolution inataka binadam wachanganye genes zaidi ili waendelee ku-evolve kwa kasi zaidi. Kuchanganya genes zaidi kunataka fruidity katika sex, ili hatimaye kila mwanamke azae na wanaume wengi tofauti tofauti iwezekanvyo; na kila mwanaume azae na wanawake wengi zaidi iwezekanavyo. Lengo la kila kiumbe kibaolojia ni kutawanya genes zake ili ziendelee ku-survive katika future generations.

Manake ni kuwa lengo la kila mtu (evelutionary) ni kuishi milele kupitia vinasaba vyake (genes). Na uwezekano wa kutawanya vinasaba huongezeka pale tunapozaliana na individuals tofauti tofauti. Yaani ni kuwa kwa hali halisi ya ki-evolution, mwanamke mwenye watoto watano ingekuwa bora kila mtoto awe na babake tofauti. Hili linamaanisha kuwa uwezekano wa hawa watoto kuendelea kuishi wote ni mkubwa zaidi. Mama atakuwa na uwezo wa kuchagua sifa mbali mbali katika wanaume tofauti na kuzaa watoto na hao wanaume.

Huko ndiko tuendako hata kama hatutaki!
 
Mtambuzi nashukuru MUNGU kwa kuwa unaendelea vizuri umeweza hata
kuendelea na tungo zako zenye mlengo wa kike.
kwa watoto bana, hawa watoto wenu wa mageti makali ndo wanakuwaga vicheche sana huko mbele i.e. elimu ya juu, vyuoni,
kwa kuchelewa kuoa ni kutokana na watu kuogopa majukumu, si wamezoea kulelewa na wazazi,
la kutongoza wanaume nataka niwaulize
hawa binti zangu akina bebii, feisibuku, ashadi, kongosho na wengineo kibao
eti hii tabia ya kutongoza wanaume mmeipata wapi
?
 
Utandawazi, Tamthilia, sinema, saluni na vijiwe vya mashosti vinachangia kwa asilimia kubwa kuendelea kwa kasi maadili haya wanayoyaita "enlighment"!

Sidhani wala siamini kuwa hawa wanaojiita "vijana wa kileo wenye mtazamo chanya" WATAWEZA KUFURAHI, KUCHEKA NA KUENDELEA KUWA-ENTARTAIN WATOTO WAO WATAKAOKUWA VIJANA WAKATI HUO NA WAKIFANYA "NGONO HURU" Kama wengine walivyoiita. HII NI TABIA CHAFU AMBAYO IMEENDELEA KUJENGWA VIA NILIYOYATAJA HAPO AWALI.
 
mtambuzi nashukuru mungu kwa kuwa unaendelea vizuri umeweza hatakuendelea na tungo zako zenye mlengo wa kike.kwa watoto bana, hawa watoto wenu wa mageti makali ndo wanakuwaga vicheche sana huko mbele i.e. Elimu ya juu, vyuoni,kwa kuchelewa kuoa ni kutokana na watu kuogopa majukumu, si wamezoea kulelewa na wazazi,la kutongoza wanaume nataka niwaulize hawa binti zangu akina bebii, feisibuku, ashadi, kongosho na wengineo kibao eti hii tabia ya kutongoza wanaume mmeipata wapi?
mamadogo,mm simo wananisingizia!!
 
Mtambuzi nashukuru MUNGU kwa kuwa unaendelea vizuri umeweza hata
kuendelea na tungo zako zenye mlengo wa kike.
kwa watoto bana, hawa watoto wenu wa mageti makali ndo wanakuwaga vicheche sana huko mbele i.e. elimu ya juu, vyuoni,
kwa kuchelewa kuoa ni kutokana na watu kuogopa majukumu, si wamezoea kulelewa na wazazi,
la kutongoza wanaume nataka niwaulize
hawa binti zangu akina bebii, feisibuku, ashadi, kongosho na wengineo kibao
eti hii tabia ya kutongoza wanaume mmeipata wapi
?
heri mimi sijatajwa loh
 
ha haaaaaaa, hii thread imenikumbusha siku moja nilikuwa naongea na mtu kuhusu ongezeko la hawa makahaba, nilisikitika sana na kuwaonea huruma..... kuna mdada akaniangalia, akaona nimevaa pete, akanijibu straight kwamba lakini ujue dada hawa watu wateja wao ni hao waume zenu................ 'mkiwafungia waume zenu ukahaba utapungua maana hakutakuwa na wateja' .........
Nikajiwazia, Lakini kweli!
 
mi nadhani sababu kubwa ya kuchelewa kuoa au kuolewa ni; matatizo mengi yanayoongelewa ktk ndoa. Wanandoa wengi pamoja na wazazi wamekua wakiwaambia vijana na watoto wao kuwa ndoa ni ngumu na ina shida na matatizo mengi. Hii imepelekea vijana wengi kuchelewa kuoa au kuolewa wakidai hawataki kuingia ktk shida mapema. Huo ndo mtazamo wangu.
Kweli hii nayo inaweza kuwa ni sababu mojawapo na hasa kwa wale waliokulia katika familia mabazo zinakumbana na matatizo mengi ya ndoa.
 
Tatizo warembo wengi wanaiga mapenzi ya kizungu, mapenzi ya kiFB, mapenzi ya Isidingo wanaishia kumegwa tu na kuachwa
 
tunaishia kuwanyoshea vidole wenzetu tu wakati na sisi napo tupo. Binafsi huwa inaniumiza sana. mara nyingi nawaza, hivi ni kweli imeshindikana kabisa watu tukawa committed kwa partners wetu?
Huu ni mjadala mwingine ambao watu hapa watakuletea sababu lukuki....lol
 
Back
Top Bottom