Chama cha kigoma kitashinda Arusha?mkuu. ACT lazima imng'oe mwehu lema jimbo la arusha mjini. wana arusha wamechoka na siasa za vurugu
Chama cha kigoma kitashinda Arusha?mkuu. ACT lazima imng'oe mwehu lema jimbo la arusha mjini. wana arusha wamechoka na siasa za vurugu
ACT ni chama makini sana cha siasa. ni mkombozi wa watanzania
ACT chama cha wakimbizi na waasi... Base yake kigoma!Hiki chama kimekuwa mwiba kwa Chadema sijui kwa nini.
ACT ni chama makini sana cha siasa. ni mkombozi wa watanzania
Chama cha kigoma kitashinda Arusha?
ACT chama cha wakimbizi na waasi... Base yake kigoma!
Vipi Mwanaharamu,leo CCM sio Chama makini na mkombozi tena wa Watanzania?
Leo uko ACT kwa sababu ya ZITTO!... mchana uko CCM kwa sababu ya JK na 2015 unarudi CUF!!...chadema ni chama cha wachaga na wakaskazin. base yake iko moshi
CUF ya wapemba!... ACT na CHAUMA ya waha na mashabiki wa udini na ukabila!!...mbona chama cha moshi.kimeshinda arusha?
CCM humo na huku Alliance of Cowards and Traitors upo,umekuwa kama kiuno cha Pateli..chadema ni chama cha wachaga na wakaskazin. base yake iko moshi
Huyo ni mzigo kwa taifa,chama chake majina ya Watu teh teh teh..Leo uko ACT kwa sababu ya ZITTO!... mchana uko CCM kwa sababu ya JK na 2015 unarudi CUF!!...
akili ya mwigamba na zaidi ya misukule yote ya chadema na viongozi wake
Mwigamba ni mwanamageuzi wa ukweli.Heri ya hicho alichokifanya,kuliko kwenda kujisalimisha Lumumba.hakuwa na namna na ninaamini baunsa Lema siku zake zinahesabika Arusha mjini.
huyo mwizi wa magari tutampiga tu
Hiki chama kimekuwa mwiba kwa Chadema sijui kwa nini.
Mking'oa Lema Arusha 2015 naacha siasa.
mkuu umeanza kuisaliti ccm?Mimi najitolea kusafirisha magari na mizigo yoyote ya ACT bure kutoka sehemu yoyote duniani kwenda bongo...