Kumbe Mwigamba ndie Katibu mkuu (taifa) ACT!

Kumbe Mwigamba ndie Katibu mkuu (taifa) ACT!

Hivi kuna taahira anaamini kwamba Act kinaweza kukisumbua chadema?
 
mkuu. ACT lazima imng'oe mwehu lema jimbo la arusha mjini. wana arusha wamechoka na siasa za vurugu
Mimi najitolea kusafirisha magari na mizigo yoyote ya ACT bure kutoka sehemu yoyote duniani kwenda bongo...
 
akili ya mwigamba na zaidi ya misukule yote ya chadema na viongozi wake
 
hongera na wewe kwa kukikubali chama makini cha ACT misukule mmeanza kujielewa sasa

ulivyo mbumbumbu na vimba-macho unayaamini maneno,em onyesha kwa mfano hoja uliyowai kujenga.eti ACT chama makini,mara mkombozi wa watz,mmkomboe nani nyie takataka mliofagiwa Cdm na kumwagwa shimo ACT
 
Mimi najitolea kusafirisha magari na mizigo yoyote ya ACT bure kutoka sehemu yoyote duniani kwenda bongo...

umeshaiba magari huko. Umeshindwa kuwasilisha rambi rambi za mjane ..mjinga wewe
 
ulivyo mbumbumbu na vimba-macho unayaamini maneno,em onyesha kwa mfano hoja uliyowai kujenga.eti ACT chama makini,mara mkombozi wa watz,mmkomboe nani nyie takataka mliofagiwa Cdm na kumwagwa shimo ACT

we ni taahira wa kupuuzwa tu. sijawahi ona la maana unalopost huku zaidi ya kusifia wachaga wenzako wa chadema
 
Naskia ulikusanya rambirambi za Mgimwa, vipi unasubiri matokeo ya ubunge ndiyo uamue kuwasilisha ama la..!
Ha ha!!, wameliwa!!!
Hawakujua kwamba huyu jamaa ndio dili zake kuibia watu rambirambi..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom