DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,642
Hata kichaa huwa na ndoto,cdm hamtaiweza nyie ccmACT ndio chama kikuu cha upinzani mwaka 2015.
Hata kichaa huwa na ndoto,cdm hamtaiweza nyie ccmACT ndio chama kikuu cha upinzani mwaka 2015.
Ccm wamsaidie kufanya mkutano kwao kina Mwigamba pale KAYENZE ndo labda atawaokota wanyantuzu wenzake.Jambo wakuu, jioni hii hapa Mwanza tumeshudia matangazo mitaani ya mwaliko wa mkutano wa chama cha ACT kesho ktk viwanja vya shule ya msingi mbugani miongoni mwa wageni wakitaifa ni pamoja na katibu mkuu taifa Samsoni Mwigamba kwa mujibu wa matangazo
Mwigamba ni mwanamageuzi wa ukweli.Heri ya hicho alichokifanya,kuliko kwenda kujisalimisha Lumumba.hakuwa na namna na ninaamini baunsa Lema siku zake zinahesabika Arusha mjini.
Jenga hoja achana na matusi, yatakujengea heshima sanaaaa
mkuu. ACT lazima imng'oe mwehu lema jimbo la arusha mjini. wana arusha wamechoka na siasa za vurugu
I see!!!, Daaah!!!!
Nilikuwa sijaipata hii, wanaishi na mahawara wapi mkuu?, hao mahawara ni akina nani, na hao watoto waliowatelekeza ni akina nani?, na wamewatelekezaje, wameshindwa kwenda shule, hawana mavazi na malazi na wala hawapati chakula!??
Yaani hii ishu iko iko vipi mkuu!!??
CCM , Jeshi la Polisi , Jk na Mahaka zimeshindwa kumtoa Lema ndio mtaweza nyinyi? naona unaota ndoto za mchana
Kwenye sanduku la kura hapa arusha Kumshinda LEMA ni ngumu mno,waulize misukule wenzako waliopo hapa arusha.
Utalia sana ila ndo vile CHADEMA ni habari nyingine.
Mkuu, hii mi CCM huwa inaniachaga hoi, sasa hivi wanafanya kazi ya kuwathibitishia watanzania kuwa ATC ni tawi lao..
Mwigamba ameshindwa kutafutiwa kazi na MM kama alivyoahidiawa,anazunguka na laptop ya ACT iliyochakaa,ofisi yake ni chini ya mti pale ofisi ya RC ARUSHA
Hiki chama kimekuwa mwiba kwa Chadema sijui kwa nini.
ACT ndio chama kikuu cha upinzani mwaka 2015.
:A S 103: Allience for Cowards Tanzania....as well as you....we ni taahira wa akili
Kuna mdau ametoa fasiri ya ACT as Alliance for Cowards Tanzania. Je, ndivyo chama chenu chatambulika?
Ayaaa!!!, mkuu, kenge tena!?we kenge kamuuize rose kamili
:A S 103: Allience for Cowards Tanzania....as well as you....
Ayaaa!!!, mkuu, kenge tena!?
Unajua mkuu hii ishu inaweza kukisambaratisha kabisa chama na utabiri wetu kwamba CDM hakitavuka 2013 akatimia,
Hebu mkuu nitonye kidogo, huyo rose kamili ndio hawala!?, wa Mbowe au Slaa!??