Kumbe Mwigamba ndie Katibu mkuu (taifa) ACT!

Kumbe Mwigamba ndie Katibu mkuu (taifa) ACT!

Jambo wakuu, jioni hii hapa Mwanza tumeshudia matangazo mitaani ya mwaliko wa mkutano wa chama cha ACT kesho ktk viwanja vya shule ya msingi mbugani miongoni mwa wageni wakitaifa ni pamoja na katibu mkuu taifa Samsoni Mwigamba kwa mujibu wa matangazo

Hawa walikula hela ya ccm ili watumike kuua chadema. Baada ya kufukuzwa ccm bado wanawataka watimize maana pesa walishakula. Sasa nadhani option waliyopewa ni kuanzisha chama ili kujaribu kuigawa chadema!
Kimsingi mission ni kujaribu kuigawa chadema ili ccm wapate ahuweni 2015! kwenye waraka wa siri walikuwa wakidai kuwa watu wao hawana hela na hata kazi watafutie japo 2mil ya kujikimu iweje leo hii wamepata pesa ya kuanzisha chama na kutangaza chama mikoani. Yote haya yanafadhiriwa na ccm hivyo hamna tofauti ya kuwa Lumumba na kuwa ACT=Alliance of Chadema Traitors!
 
mkuu. ACT lazima imng'oe mwehu lema jimbo la arusha mjini. wana arusha wamechoka na siasa za vurugu

Hao sio size ya CDM,Waambie ccm wamsimamishe hata jk agombee na Lema 2015 pale ndo uijue Arusha ilivyoivishwa na CDM yake.
 
Hawa walikula hela ya ccm ili watumike kuua chadema. Baada ya kufukuzwa ccm bado wanawataka watimize maana pesa walishakula. Sasa nadhani option waliyopewa ni kuanzisha chama ili kujaribu kuigawa chadema!
Kimsingi mission ni kujaribu kuigawa chadema ili ccm wapate ahuweni 2015! kwenye waraka wa siri walikuwa wakidai kuwa watu wao hawana hela na hata kazi watafutie japo 2mil ya kujikimu iweje leo hii wamepata pesa ya kuanzisha chama na kutangaza chama mikoani. Yote haya yanafadhiriwa na ccm hivyo hamna tofauti ya kuwa Lumumba na kuwa ACT=Alliance of Chadema Traitors!

ACT ni chama cha watanzania wazalendo. hakina ubia na chama chochote
 
Hao sio size ya CDM,Waambie ccm wamsimamishe hata jk agombee na Lema 2015 pale ndo uijue Arusha ilivyoivishwa na CDM yake.

wana arusha hatutaki kuongozwa na wachaga. tunataka wazawa. lema hana chake arusha. labda akagombee machame
 
act ni group la wahuni wa zitto. Hapa kasulu vijana hawa walikuwa wanagawa kadi za act. Siku chadema ilipowambia warudishe spika na mic za chadema, walikmilia kwa wale wazee wa kahawa wa kigoma. Hadi sasa vijana hawa wanajiita ni chadema huku wanahawa kadi za act. Ata mwigamba ataisha yeye na zzk wake
 
mwigamba ni kiboko ya chadema. amewashika chadema sehemu nyeti hawafurukuti
 
act ni group la wahuni wa zitto. Hapa kasulu vijana hawa walikuwa wanagawa kadi za act. Siku chadema ilipowambia warudishe spika na mic za chadema, walikmilia kwa wale wazee wa kahawa wa kigoma. Hadi sasa vijana hawa wanajiita ni chadema huku wanahawa kadi za act. Ata mwigamba ataisha yeye na zzk wake

labda wewe ndio utaisha. ACT mwendo mdundo inasonga mbele. nyuma kwetu mwiko
 
Ona aibu thread nzima uko peke yako! Ni gundu au kitu gani hiki!

mimi ni jeshi la mtu mmoja. nina uwezo wa kuisambaratisha misukule pamoja na viongozi wa chadema wote kwa pamoja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom