Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,547
we kenge kamuuize rose kamili
Mbona unawafananisha wenzio na wewe..!?
we kenge kamuuize rose kamili
Mwigamba ni mwanamageuzi wa ukweli.Heri ya hicho alichokifanya,kuliko kwenda kujisalimisha Lumumba.hakuwa na namna na ninaamini baunsa Lema siku zake zinahesabika Arusha mjini.
Mbona unawafananisha wenzio na wewe..!?
Hata kichaa huwa na ndoto,cdm hamtaiweza nyie ccm
samson mwigamba ni kiongozi msomi na makini sana,,
aisee , makao makuu yao yakwapi hawa ACT
Wewe madrasa nini, yani mtu mwenye FTC ndo msomi? MBA hata mjinga mwingine yoyote anaweza kusoma! angekuwa msomi asingeishia FTC!
Subiri uwone watu makini wenye elimu na cv zao usililize vizuri usije potosha watu humu kwenye janvi sera ya uwazi na democrasia iliojengeka viva act viva
lema hana chake arusha. huyu mchaga aende akagombee moshi. arusha tunataka wazawa hatutaki wakuja
mwigamba ni msomi. huwezi mfananisha na dj zero form six na dr.slaa mwenye phd ya canon law
Hiki ni chama cha wasaliti wa chadema yaani ACT=Alliance of Chadema Traitors!Jambo wakuu, jioni hii hapa Mwanza tumeshudia matangazo mitaani ya mwaliko wa mkutano wa chama cha ACT kesho ktk viwanja vya shule ya msingi mbugani miongoni mwa wageni wakitaifa ni pamoja na katibu mkuu taifa Samsoni Mwigamba kwa mujibu wa matangazo
unataka ukalipue mabomu kama soweto?
Mwigamba ndo mzawa wa AR? ACT= Alliance of Chadema Traitors. Hamwezi kusaliti harakati za ukombozi kwa pesa za ccm mkabaki salama! Hata hiki chama ni mwendelezo wa ccm kujaribu kuua chadema! Mwisho wa siku mtakuja kuungana na ccm na bado hamtaiweza chadema! Chadema ni mpango wa Mungu hautaweza kuangushwa na mwanadamu chini ya jua!
Msomi kwenu wafuasi wake!
Hiki ni chama cha wasaliti wa chadema yaani ACT=Alliance of Chadema Traitors!
nyie ndio mlokula div 4 ya 49
swali liko wazi unaleta upunguani
Mwigamba ndo mzawa wa AR? ACT= Alliance of Chadema Traitors. Hamwezi kusaliti harakati za ukombozi kwa pesa za ccm mkabaki salama! Hata hiki chama ni mwendelezo wa ccm kujaribu kuua chadema! Mwisho wa siku mtakuja kuungana na ccm na bado hamtaiweza chadema! Chadema ni mpango wa Mungu hautaweza kuangushwa na mwanadamu chini ya jua!