Kumbe Mwigamba ndie Katibu mkuu (taifa) ACT!

Kumbe Mwigamba ndie Katibu mkuu (taifa) ACT!

jambo wakuu, jioni hii hapa mwanza tumeshudia matangazo mitaani ya mwaliko wa mkutano wa chama cha act kesho ktk viwanja vya shule ya msingi mbugani miongoni mwa wageni wakitaifa ni pamoja na katibu mkuu taifa samsoni mwigamba kwa mujibu wa matangazo
mwenyekiti ni zitto kabwe,wanachama wengi ni waha wa kigoma na waislamu
 
ACT ndio chama kikuu cha upinzani mwaka 2015.

ACT ndio ndio nini?

1473030_508402255933268_1443355110_a.jpg
 
mwenyekiti ni zitto kabwe,wanachama wengi ni waha wa kigoma na waislamu

ha ha kwahiyo ACT ni ya waislamu na chadema ni ya wakristo. kwa hiyo mwakani chadema mtapigiwa kura na wakristo tu?p
 
mkuu nadhani huu ni mda wa kuwasiliana na mashekhe kuhakikisha mkutano unajaa watu, kina Matata, Chagulani waanze sasa kusomba watu kutoa interior, time is up

Mi nadhan Demu wako atakuwa wa kwanza kukusanywa au na wewe utamfuata.
 
kama mapadri na wachungaji wanavyotangaza kanisani mikutano ya chadema

Tanzania tuna mfumo kristo lakini chama cha kikristo ni cha upinzani. Worse enough serikali kristo inaongozwa na Waislam ................ !!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom