Chum Kane
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 1,148
- 952
Hongera yake.
Laway Garma!
Hongera yake.
Hebu nieleweshe tuone kama sitakuelewa, inaonekana umeshindwa kunijibu halafu unaanza kusingizia viroba.acha viroba kwanza ndio utanielewa
Safi sana na hongera Mwigamba,
Hii itamuuma sana mini K
I see!!!, Daaah!!!!ndio. wanaishi na mahawara sasa hivi
Wewe mwenyewe ni mzigo hujiwezi,unategemea KUFA KUFAANA.Mimi najitolea kusafirisha magari na mizigo yoyote ya ACT bure kutoka sehemu yoyote duniani kwenda bongo...
Safi sana na hongera Mwigamba,
Hii itamuuma sana mini K
samson mwigamba ni kiongozi msomi na makini sana,,
na waliosaliti wake na watoto wao mbowe na slaa mliwaonesha mfano gani?
Mkuu, hii mi CCM huwa inaniachaga hoi, sasa hivi wanafanya kazi ya kuwathibitishia watanzania kuwa ATC ni tawi lao..Yan hapa utajua ccm ni majinga sana, badala ya kusifia chama chao ndo kimekuwa mwiba kwa cdm na mpinzin sasa yanakisifia ACT wapi na wapi, akili za kuambiwa changanya na zako, haijapta kutokea chama dume kama cdm kwenye historia ya siasa tz.
Ukiona chama tawala wanasifia chama fulani cha upinzani, ujue kuna jambo..
asante sana mkuu tumepata. yule mbakaji wa arusha tutamtoa pale bungeni arudie kazi yake ya zamani
Mkuu nimecheka kwa sauti sana, eti KUFA KUFAANA.Wewe mwenyewe ni mzigo hujiwezi,unategemea KUFA KUFAANA.