Hahahahaaaa.... ndo maana tulimtandika ngumi na kumtimua Mkulima maskini.
ACT ni chama mbadala wa chadema
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaa.... ndo maana tulimtandika ngumi na kumtimua Mkulima maskini.
hakika anaefikiria hivyo ni kichaaHivi kuna taahira anaamini kwamba Act kinaweza kukisumbua chadema?
Teh teh teh!!!, eti masikini mkulima, sasa huko ATC wamekutana wasaliti wote, sijui nani atawawahi kuwasaliti wenzie, maanake dhambi ya usaliti haitawaacha, itaendelea kuwatafuna.Hahahahaaaa.... ndo maana tulimtandika ngumi na kumtimua Mkulima maskini.
Hahahahaaaa.... ndo maana tulimtandika ngumi na kumtimua Mkulima maskini.
teh,teh,mkuu hongera sana,unanivutia sana jinsi unavyojua kujenga hoja.teh,teh
Teh teh teh!!!, eti masikini mkulima, sasa huko ATC wamekutana wasaliti wote, sijui nani atawawahi kuwasaliti wenzie, maanake dhambi ya usaliti haitawaacha, itaendelea kuwatafuna.
Wewe kweli lofa aisee! Hapo amejenga hoja gani!
Ni chama cha wasaliti makini
Teh teh teh!!!, eti masikini mkulima, sasa huko ATC wamekutana wasaliti wote, sijui nani atawawahi kuwasaliti wenzie, maanake dhambi ya usaliti haitawaacha, itaendelea kuwatafuna.
Hiyo ni ccm na Samsoni Nwigamba na wenzie kina zitto ni vibaraka, wala hakuna jipya, hongera zao, watavuna walichokipanda.
Kivipi yani!??mkuu. chadema kumejaa misukule
kwa hiyo mnajisifia vurugu sio? chadema mataahira kweli
Kivipi yani!??
Hata vyama vingine kama NCCR, CUF, CCM, NLD n.k nako kuna misukule!?, au misukule ipo CHADEMA tu!!??
Duuuu!!??wasaliti ni mbowe na slaa waliotelekeza wake na watoto wao
We umeona ni vurugu ile!? Tulikuwa tunaonesha mfano kuwa hatuvumilii na kuthamini wasaliti.
Duuuu!!??
Hebu funguka mkuu, hivi Mbowe na Slaa wametelekeza watoto wao eeh!!?