Kumbe Mwigamba ndie Katibu mkuu (taifa) ACT!

Kumbe Mwigamba ndie Katibu mkuu (taifa) ACT!

mwigamba mnasema anaakili mbona akushtaki kua chadema walimnawa bada yakujua nimamluki au kazoea au alirizika nalaza alizo pata kutoka kwa vijana wanao jua umuimu wa maisha yao
 
Jambo wakuu, jioni hii hapa Mwanza tumeshudia matangazo mitaani ya mwaliko wa mkutano wa chama cha ACT kesho ktk viwanja vya shule ya msingi mbugani miongoni mwa wageni wakitaifa ni pamoja na katibu mkuu taifa Samsoni Mwigamba kwa mujibu wa matangazo

Natamani Samsoni Mwenyegamba angeanzia mikutano Arusha vile.
 
mkuu nadhani huu ni mda wa kuwasiliana na mashekhe kuhakikisha mkutano unajaa watu, kina Matata, Chagulani waanze sasa kusomba watu kutoa interior, time is up

unanichekesha sana, vipi chadema nasikia mmewasomba wachaga wa moshi na arusha mpaka kalenga , hivi kanda nyingine hakuna chadema mpaka mkawachukue wachaga wa kaskazini?
 
kweli chadema katoliki mnajisahau sana,chama kinaongozwa na padri then mnakuja kusema act chama cha kidini!
 
kweli chadema katoliki mnajisahau sana,chama kinaongozwa na padri then mnakuja kusema act chama cha kidini!

wanashangaza sana hawa. chama kinaongozwa na padri hawaoni. dah wameona mwigamba ni mkristo ndio maana wanashangaa. maana chadema ni mwiko kwa muislamu kuwa kiongozi.
 
unanichekesha sana, vipi chadema nasikia mmewasomba wachaga wa moshi na arusha mpaka kalenga , hivi kanda nyingine hakuna chadema mpaka mkawachukue wachaga wa kaskazini?
mashekhe watatangaza misikitini saa saba watu watajaa kwenye mkutano usijali
 
poloe sana mkuu ila nakushauri tu hebu mtafute dr akupime akili inawezekana unajiona mzima lakini wewe ni mgonjwa wa akili. hivi we lukosi upoje wewe?

  • :grouphug:
    • :thinking:
    • :biggrin1:
      • A%20S%20confused.gif





 
Kuilinganisha Chadema na ACT Ujiji ni sawa na kulinganisha speed ya CHAFYA na ya USHUZI
 
Makini kwa Usaliti na uoga
Hata mie nime wavulia kofia.
Vp lakin, Ma Shekh washaanza kuhamasisha watu.
Mwigamba kasilimu now anaitwa Salum Mwigamba

Kumbe mtu akiwa chagadema huwa anabatizwa kwanzaaaa! Alaa kumbe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom