kistwangara
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 656
- 94
hivi wew unawafahamu wanaarusha ama unawasaikia tu? hawana njaa kama yako ya kuleta umbea kila siku humu ndani kwa ajili ya kupata buku 7?
- :thinking:
Makini kwa Usaliti na uoga
Hata mie nime wavulia kofia.
Vp lakin, Ma Shekh washaanza kuhamasisha watu.
Mwigamba kasilimu now anaitwa Salum Mwigamba
Ndio unanishawishi nijiunge na Chama cha WAHA wa ujiji?Chagadema bana! Hamjui demokrasia ya kweli. Mtu anao uhuru wa kujiunga na chama chochote cha siasa sio lazima chagadema tu.
kama mapadri na wachungaji wanavyotangaza kanisani mikutano ya chadema
Ndio unanishawishi nijiunge na Chama cha WAHA wa ujiji?
Kumbe mtu akiwa chagadema huwa anabatizwa kwanzaaaa! Alaa kumbe!
Kumbe mtu akiwa chagadema huwa anabatizwa kwanzaaaa! Alaa kumbe!
Ndio unanishawishi nijiunge na Chama cha WAHA wa ujiji?
Hapa CHADEMA wanakujaje sasa ?
Safi sana na hongera Mwigamba,
Hii itamuuma sana mini K
Sahihi kabisa mkuu! Hawa chagadema wajinga sana, kumbe wana ajenda ya siri ya ukristo! Yaani mtu akihama basi wanadai kasilimu! Hii saccos ni ya kuogopwa zaidi ya homa ya ini.
kweli mkuu. zito na said arfi walikataa kubatizwa ndio wakaundiwa zengwe .chagadema ndio walivyo
Hapa CHADEMA wanakujaje sasa ?
Safi sana na hongera Mwigamba,
Hii itamuuma sana mini K
ACT ni chama makini sana cha siasa. ni mkombozi wa watanzania
una maana hao wananchi wenyewe ndo hawa hapa chini. abakorakamo betlehem boko haram dotto c. Rangimoto na waoga na wasaliti wote sio ?
Safi sana na hongera Mwigamba,
Hii itamuuma sana mini K
Ukiona chama tawala wanasifia chama fulani cha upinzani, ujue kuna jambo..
kweli mkuu. zito na said arfi walikataa kubatizwa ndio wakaundiwa zengwe .chagadema ndio walivyo