Kumbe Mwanza bado waipenda UKAWA

Kumbe Mwanza bado waipenda UKAWA

Mkuu hapo umedanganya... we sio cdm...

Pitia Mabandiko Yangu,2010 Wenje Na Kiwia Walishinda Kwa Kura Za Makabila Yao Pekee?!Wasukuma Hawakupiga?Acha Kuhusianisha Uchakachuaji Wa Kura Na Ukabila,unataka Kuniambia Kura Elf 85 Alizopata Wenje Na Kuporwa Ni Za Wajaluo Pekee?!
 
Leo kwenye taarifa ya habari ya ITV wameonyesha maelfu na msafara mrefu wa magari ya wakazi wajiji hilo wakienda kumsindikiza mwili wa mwendazake alphonce mawazo kwenda hospitali ya bugando kwaajili ya postmortum .kwa maelfu ya watu tuliowaona ni dhahiri kabisa ukawa bado inanguvu sana katika ukanda huo wa ziwa.ila ccm wanatumia nguvu kubwa sana kusambaza propaganda kuwa ukawa imekufa

Ama kwa hakika leo tumepata majibu kwa macho yetu kwamba ukawa ina nguvu kanda ya ziwa




Apumzike kwa amani mwendazake alphonce mawazo

= postmortem
 
Mwanza ndiyo ukawa na ukawa ndiyo mwanza. Nasikia Mkapa ndiye aliingilia kulazimisha matokeo na kumpora Wenje.

Huyu Mkapa mbona mnamsingizia sana? Yan yeye ndo kawa mtu wa kutuwekea viongozi nchi hii.
 
Hivi kumbe walikuja mwanza kumpima kama kauawa na mapanga au ilikua ni maralia?,


nachukia sana maiti kutumika kisiasa

Elungata sasa leo usitake tukudharau nawe,we hujui marehemu alikuwa ni mwanasiasa,pia kwa umri wako huo hujui kwanini maiti zinafanyiwa postmortum?kweli ubongo wako umejaa mafinyofinyo
 
Last edited by a moderator:
Leo kwenye taarifa ya habari ya ITV wameonyesha maelfu na msafara mrefu wa magari ya wakazi wajiji hilo wakienda kumsindikiza mwili wa mwendazake alphonce mawazo kwenda hospitali ya bugando kwaajili ya postmortum .kwa maelfu ya watu tuliowaona ni dhahiri kabisa ukawa bado inanguvu sana katika ukanda huo wa ziwa.ila ccm wanatumia nguvu kubwa sana kusambaza propaganda kuwa ukawa imekufa

Ama kwa hakika leo tumepata majibu kwa macho yetu kwamba ukawa ina nguvu kanda ya ziwa




Apumzike kwa amani mwendazake alphonce mawazo

Yap! kwa kupata kata 1 kati ya zote za jijini ndio kupendwa basi sawa tumekuelewa.
 
Bila kusahau group la wasap jukwaa la siasa linaendelea,kwa anayependa aniibox number
 
Hivi kumbe walikuja mwanza kumpima kama kauawa na mapanga au ilikua ni maralia?,


nachukia sana maiti kutumika kisiasa
Wewe hujielewi, ulitegemea mtu aliyeuwawa kwenye siasa maiti yake isihusishe siasa? kweli ccm inaongoza maiti.
 
Kuna nesi kaniambia mwili ulipowasili hospitali, vilio na mayowe vilisikika kutoka kwa wagonjwa na manesi.
 
Back
Top Bottom