econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 22,138
- 32,716
Mtoa mada naona ulifeli mtihani wa form two
Bora yeye, wewe ulifeli darasa la nne
Mtoa mada naona ulifeli mtihani wa form two
Bi mdash ushaanza kuzingua
Hivi kumbe walikuja mwanza kumpima kama kauawa na mapanga au ilikua ni maralia?,
nachukia sana maiti kutumika kisiasa
Sasa naamini kweli ccm walichakachua matokeoKuna nesi kaniambia mwili ulipowasili hospitali, vilio na mayowe vilisikika kutoka kwa wagonjwa na manesi.
group la jukwaa la siasa now lipo wasap niibox nikuungeNilidhani una akili,kumbe kichwa unatumia kufugia nywele tu🙂
Kwanini ukiwa ccm lazima uwe mpumbavu,hua sielewi hii kitu isee:what:
me nikajua ulishuhudia kumbe stor za chumbani!!#may his soul rest in eternal peace mawazoKuna nesi kaniambia mwili ulipowasili hospitali, vilio na mayowe vilisikika kutoka kwa wagonjwa na manesi.
me nikajua ulishuhudia kumbe stor za chumbani!!#may his soul rest in eternal peace mawazo
TATIZO sio ukawa ,kinachomatter hapa ni UTU uwe ukawa ama CCM
TATIZO sio ukawa ,kinachomatter hapa ni UTU uwe ukawa ama CCM
hadithi za kwenye kahawa, Wenje alirudia mara nne kuhesabu kura mara nne zote na akakubali kushindwa.Mwanza ndiyo ukawa na ukawa ndiyo mwanza. Nasikia Mkapa ndiye aliingilia kulazimisha matokeo na kumpora Wenje.