Kumbe Mrisho Mpoto ni mjinga kiasi hiki

Kumbe Mrisho Mpoto ni mjinga kiasi hiki

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
361,249
Reaction score
832,194
Wahenga huwa wanawaambia watu wapumbavu kukaa kimya ili kuficha upumbavu wao.. Kwakuwa kwa kufungua kinywa tu kila mtu hujua kwamba hakuna kitu hapa
Mrisho Mpoto msanii wa kutumainiwa na ccm anasema watu wanafichwa ili wasingizie wametekwa kuichafua serikali
Kama huu ndio mtazamo wake basi inawezekana kabisa kamficha mkewe kisha kasingizia amekufa
 
Wahenga huwa wanawaambia watu wapumbavu kukaa kimya ili kuficha upumbavu wao.. Kwakuwa kwa kufungua kinywa tu kila mtu hujua kwamba hakuna kitu hapa
Mrisho Mpoto msanii wa kutumainiwa na ccm anasema watu wanafichwa ili wasingizie wametekwa kuichafua serikali
Kama huu ndio mtazamo wake basi inawezekana kabisa kamficha mkewe kisha kasingizia amekufa
Hajakoma wala hajajifunza tu but we mchawi mstaafu, muache mzee wa watu apumzike katika kumzika mke wake kipenzi.
 
Wahenga huwa wanawaambia watu wapumbavu kukaa kimya ili kuficha upumbavu wao.. Kwakuwa kwa kufungua kinywa tu kila mtu hujua kwamba hakuna kitu hapa
Mrisho Mpoto msanii wa kutumainiwa na ccm anasema watu wanafichwa ili wasingizie wametekwa kuichafua serikali
Kama huu ndio mtazamo wake basi inawezekana kabisa kamficha mkewe kisha kasingizia amekufa
Mwambie kuna huyu kafichwa pia
IMG-20250823-WA0001.jpg
 
Wahenga huwa wanawaambia watu wapumbavu kukaa kimya ili kuficha upumbavu wao.. Kwakuwa kwa kufungua kinywa tu kila mtu hujua kwamba hakuna kitu hapa
Mrisho Mpoto msanii wa kutumainiwa na ccm anasema watu wanafichwa ili wasingizie wametekwa kuichafua serikali
Kama huu ndio mtazamo wake basi inawezekana kabisa kamficha mkewe kisha kasingizia amekufa
Mtu aliyemtoa kafara mke wake ili kusafishia nyota yake huyo ni zezeta hata anapopanua lile domo lake kama jaba utajua tu yule ni zero brain
 
Wahenga huwa wanawaambia watu wapumbavu kukaa kimya ili kuficha upumbavu wao.. Kwakuwa kwa kufungua kinywa tu kila mtu hujua kwamba hakuna kitu hapa
Mrisho Mpoto msanii wa kutumainiwa na ccm anasema watu wanafichwa ili wasingizie wametekwa kuichafua serikali
Kama huu ndio mtazamo wake basi inawezekana kabisa kamficha mkewe kisha kasingizia amekufa
Jinga kabisa, hivi ni lijitu la wapi? Kabila gani? Sawa na lile li Balile
 
Huyu Mpoto, kwa kukejeli vifo vya wanaotekwa na kuuawa na CCM, anadhihirisha kuwa yeye ni shetani mwendawazimu. Hana maana yoyote kwa Taifa la watu wema. Anayeshikamana na watekaji na wauaji, anakuwa ni sehemu ya hao watekaji na wauaji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom