Kumbe Mrisho Mpoto ni mjinga kiasi hiki

Kumbe Mrisho Mpoto ni mjinga kiasi hiki

Wahenga huwa wanawaambia watu wapumbavu kukaa kimya ili kuficha upumbavu wao.. Kwakuwa kwa kufungua kinywa tu kila mtu hujua kwamba hakuna kitu hapa
Mrisho Mpoto msanii wa kutumainiwa na ccm anasema watu wanafichwa ili wasingizie wametekwa kuichafua serikali
Kama huu ndio mtazamo wake basi inawezekana kabisa kamficha mkewe kisha kasingizia amekufa
Hakuzidi we mburukenge kwa upumbavu. Hv wapare mna nini? Udumavu au? Mbn hakuna mwenye akili? We ni zero brain
 
Jinga kabisa, hivi ni lijitu la wapi? Kabila gani? Sawa na lile li Balile
Hao wanapewa mifupa inayodondoka chini ya meza wakati wakuu wanakula...,kwa mfano,huyo Deodatus Balile,kwa maneno yake mwenye tena kwa kujisifu alisema Rostam Aziz ndiye aliyelipia gharama za Masomo yake kule Hull,Uingereza kipindi kile. Na kwa vile Rostam anafaidika meza kuu ya watawala,unatarajia Balile amkosoe mama hata kama anakosea waziwazi? Waandishi wengi wa habari wako compromised,wanakosa uhalali na nguvu ya kukosoa kwa vile vitu vya kuwalainisha vimeshawapitia...japo hivyo wanavyopewa ni peanuts....lakini kwa gharama ya taifa.
 
Wahenga huwa wanawaambia watu wapumbavu kukaa kimya ili kuficha upumbavu wao.. Kwakuwa kwa kufungua kinywa tu kila mtu hujua kwamba hakuna kitu hapa
Mrisho Mpoto msanii wa kutumainiwa na ccm anasema watu wanafichwa ili wasingizie wametekwa kuichafua serikali
Kama huu ndio mtazamo wake basi inawezekana kabisa kamficha mkewe kisha kasingizia amekufa
Ukitaka kujua upumbavu na ujinga wa Mpoto muulize Mgunga wa myeyelwa (atanisamehe kama nimetaja jina lake vibaya) maana ndio watu waliomlea huyo mpumbavu na mjinga.
 
Hao wanapewa mifupa inayodondoka chini ya meza wakati wakuu wanakula...,kwa mfano,huyo Deodatus Balile,kwa maneno yake mwenye tena kwa kujisifu alisema Rostam Aziz ndiye aliyelipia gharama za Masomo yake kule Hull,Uingereza kipindi kile. Na kwa vile Rostam anafaidika meza kuu ya watawala,unatarajia Balile amkosoe mama hata kama anakosea waziwazi? Waandishi wengi wa habari wako compromised,wanakosa uhalali na nguvu ya kukosoa kwa vile vitu vya kuwalainisha vimeshawapitia...japo hivyo wanavyopewa ni peanuts....lakini kwa gharama ya taifa.
AIONE BALILE DEODATUS MHAYA KAFIRI
 
Wahenga huwa wanawaambia watu wapumbavu kukaa kimya ili kuficha upumbavu wao.. Kwakuwa kwa kufungua kinywa tu kila mtu hujua kwamba hakuna kitu hapa
Mrisho Mpoto msanii wa kutumainiwa na ccm anasema watu wanafichwa ili wasingizie wametekwa kuichafua serikali
Kama huu ndio mtazamo wake basi inawezekana kabisa kamficha mkewe kisha kasingizia amekufa
Lakini drama za utekaji mbona hivi sasa hakuna tangu kusambaratika kwa chadema?

mi nadhani,
huenda chadema ndio ilikua genge la kihalifu la utekaji nchini 🐒
 
Lakini drama za utekaji mbona hivi sasa hakuna tangu kusambaratika kwa chadema?

mi nadhani,
huenda chadema ndio ilikua genge la kihalifu la utekaji nchini 🐒
Baada ya hiyo chadema kusambaratika watekaji wako huru kufanya watakalo, maana hamna wanaolinda raia tena.
 
Sasa Mtu Anatembea Bila ya kuvaa Viatu Jiji lote la Daresallam na jua Kali hivyo Unadhania Atakuwa na Akili kichwani huyo? Mrisho Mpoto ni Chizi Anayetembea Pekupeku- Wakati wa jua Kali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom