Kumbe mimba ya Zari si ya Diamond

Kumbe mimba ya Zari si ya Diamond

Hahahaaaa tutamuona tuu.
Ant enyewe alimficha mtoto wake shoga nilivyo mmbea nilitia maguu pale ila yule bi dada kiboko loooh marufuku kumpiga mtoto wake picha nikasema ngoja niende nirudi baada ya mwezi.

Hahahahaaa, halafu nilisahau kama na wewe siku hizi ni mbea tofauti na atoto ndio kabaki mwenyewe.
Ngoja nitakuunga kwenye group la wambea....

Haya tupe kashda shoga, mtoto anafanana na nani? Moze au?
 
Last edited by a moderator:
kwa kidume ukipiga bao la mimba unajua tu hapa imeingia

Sasa mimba abebe zari

Mimba abebeshwe na Diamond

Wanaoumia kina wema na alikiba

Sasa si majanga hayo? by snura

Mimba sio yako....mbebeaji sio wewe...mbebeshaji sio wewe...sasa maumivu ya nini kwako?
 
Jamani saa 10 budget inasomwa,punguzeni umbea., msikie budget ya mwisho ya MKESHA ANGANI.
 
Hahahahaaa, halafu nilisahau kama na wewe siku hizi ni mbea tofauti na atoto ndio kabaki mwenyewe.
Ngoja nitakuunga kwenye group la wambea....

Haya tupe kashda shoga, mtoto anafanana na nani? Moze au?

Shoga ebu fanya kuniungaa....mtoto kwakweli hajafanana na dancer sijui ile sura ni ya nani.
Sema ujue nini ukimbeba kidogo tuu unaambiwa haya mweke kwenye kitanda chake kweli mama cookie ni shida hataki mtoto akaguliwe.
Na sijui kama atapostiwa sura yake ivi karibuni looh wanakangoja kakue kue sura ieleweke
 
Last edited by a moderator:
kwa kidume ukipiga bao la mimba unajua tu hapa imeingia

Sasa mimba abebe zari

Mimba abebeshwe na Diamond

Wanaoumia kina wema na alikiba

Sasa si majanga hayo? by snura

Mimba sio yako....mbebeaji sio wewe...mbebeshaji sio wewe...sasa maumivu ya nini kwako?

ahahahaaa!!majangaa...mbona majangaaaa.....
 
Shoga ebu fanya kuniungaa....mtoto kwakweli hajafanana na dancer sijui ile sura ni ya nani.
Sema ujue nini ukimbeba kidogo tuu unaambiwa haya mweke kwenye kitanda chake kweli mama cookie ni shida hataki mtoto akaguliwe.
Na sijui kama atapostiwa sura yake ivi karibuni looh wanakangoja kakue kue sura ieleweke

Shoga sikuwezi kwa umbea, nakuvulia kofia aisee.
Sasa subiri nitaenda kukuunga ila uingie kwa web/PC ndio utaona notification ya group invitation, si unajua tena kwenye App huoni notification yoyote zaidi ya PM?
 
Jamani saa 10 budget inasomwa,punguzeni umbea., msikie budget ya mwisho ya MKESHA ANGANI.

Nani ambae hajui sasa? Unadhani kila mtu ni kilaza kama wewe?
Hiyo budget nataka nione na huko Kenya na wengine bajeti zao zikoje basi.
Hata hivyo hongera kwa kutoa taarifa, nadhani wengi hawajui (wenzio).
 
Hahahaaaa tutamuona tuu.
Ant enyewe alimficha mtoto wake shoga nilivyo mmbea nilitia maguu pale ila yule bi dada kiboko loooh marufuku kumpiga mtoto wake picha nikasema ngoja niende nirudi baada ya mwezi.

ahahaaa mtani we kiboko!sasa ulivyofika pale ulianzaje?nimekuja kumuona mtoto au nimekuja kukusalimia?!teh teh
 
Nyota njema hung'ara toka asubuhi.. tangu aanze kufwanya wakina kidoti isitokee wabebe mimba na akati kila mtu alitamani kubebe mimba ya domo lol.
Kweli zari kiboko kafanya yake kutembelea nyota ya domo tz mweeeeeeeeee

Hahahahaaaa, chezea professional gold digger wewe?
Zari ni balaa yule mwanamke.
 
Shoga sikuwezi kwa umbea, nakuvulia kofia aisee.
Sasa subiri nitaenda kukuunga ila uingie kwa web/PC ndio utaona notification ya group invitation, si unajua tena kwenye App huoni notification yoyote zaidi ya PM?

Usijali mamy ata simu inafaa maana nitatumia chromo
 
Nani ambae hajui sasa? Unadhani kila mtu ni kilaza kama wewe?
Hiyo budget nataka nione na huko Kenya na wengine bajeti zao zikoje basi.
Hata hivyo hongera kwa kutoa taarifa, nadhani wengi hawajui (wenzio).

Mhh... Mtoto una gubu wewe... !!!
 
yani watu wanasubiri tu waone mdomo wa mtoto wa Di. Na hakyanani wasipofanana !! Spati picha.
 
ahahaaa mtani we kiboko!sasa ulivyofika pale ulianzaje?nimekuja kumuona mtoto au nimekuja kukusalimia?!teh teh

Mie tena hahaahaaa yule huwaga ni shoga yangu kitambo yaani sasa nilienda kama shostito si unajua ukienda kwa mzazi huulizwi nikaingia "oooohh shost hongela mama maana ulivyosemwa nikahisi utazaa fenesi oooww jaman kumbe katoto kazuri ivi... mweeeeeee kumbe umbea tuu"
Bola ata shoga angu yule hayupo humu maana sijui angenihisi
 
Wewee ni kiboko loo salutee...
Yaani imf zote upo nazo kama ndo zari vile kweli umbea raha...
Dildo tenaa looh ebu kolezeaa jamaniii

Yani ilikua ivii, Zari baada ya kutemwa na Ivan kwa uma.laya wake wa kushindwa kukilinda kitumbua cha mzee, akapata kakijana fulani.Kakijana kakaja kuwa mbali.kama ilivo ada ya Zarina, huwa hawezi kupitisha masaa bila dudu.Akaingia skype, kakijana kake upande wa pili kanamrecord bebii goo bebii cuum...huku mama ya watatu anajitia jiti la plastic huku kalainiiika kama mrenda.
Ile ni tutorial kwa wote wenye ukame.
 
Back
Top Bottom