Kumbe mimba ya Zari si ya Diamond

Kumbe mimba ya Zari si ya Diamond

watu wengine hawalijui Hilo,kila mtu awe timu yake lakini tusichukianee,ndio vile kila mtu na mawazo yake hayo


hivi hizo dawa hazina mwisho wa dose au??maana ni kama dose ya HIV sasa lo,hiyo methadone ni vidonge au sindano,
Jaman madawa mabayaaa loo
 
Huyu mtu ni miongoni mwa sisi wambea wa hapa hapa sasa mtu ana chuki zake binafsi anamalizia kwa staili hiyo.
Ila ni fa.la tuu. Mimi kanitaja? Apo ni wapi nikamsome tena nimchambe mb.wa koko yy

Huyo anayetukana wenzake kwenye ma blog nyingine hajiamini na ana matatizo ya kisaikolojia. Hivi unawezaje kumchukia mtu na fake id's ka si ukichaa mini? Plasi stress za maisha afanye yake kihangaika na wanaotumia fake ids ni ukichaa wamsumbua.
 
Huyo anayetukana wenzake kwenye ma blog nyingine hajiamini na ana matatizo ya kisaikolojia. Hivi unawezaje kumchukia mtu na fake id's ka si ukichaa mini? Plasi stress za maisha afanye yake kihangaika na wanaotumia fake ids ni ukichaa wamsumbua.

Yaani kaniboaaa hana tofauti na zingifuri
 
Last edited by a moderator:
Ngoja nikuambie Dinazard utu uzima dawa. Huyu mtu anajaribu kutengeneza mazingira ya nifah kuchukia watu humu.
Anataka nifah aanze kuwa hisi wale aliowaambia ata wa add. Ila nina uhakika huyu haja addiwa kule na pia ata nifah hajamshirikisha kasoma tuu kwenye comment basi akaona apa apa ngoja nimtengenezee mtu bifu. Na nimeshajua huyu mtu amlenga nani ambae nifah lazma amhisi.
Ila najua nifah ni mwelewa.

Huyo mtu ana matatizo makubwa tu hana tofauti na zingi zero brain hafanyi yake jf kutwa kufatilia ya wengine yasiyo muhusu.
Mi huyo mtu nilisha connect dot nakumngudua in short hajielewi.
 
Last edited by a moderator:
watu wengine hawalijui Hilo,kila mtu awe timu yake lakini tusichukianee,ndio vile kila mtu na mawazo yake hayo

Wengine hawalielewi hilo chuki zimewakaba kooni kisa kutofautiana ki timu. Wanafikia hatua ya kuitana majina ya ajabu mweeeeh.
Hizi timu ni changamsha genge kumbe wengine wana take serious.
 
Huyu SI aje akuchambie Tu huku jf au anakuogopaaaa eti nifah

Hahahahahaaaa! Jamani nimecheka hadi naulizwa kulikoni?
Nashindwa hata niseme nini maana ni raha iliyoje mtu asiyenijua ananifuatilia kiasi hicho? Aendelee tu asiache bwana maana ananiogopa inabidi akamwage povu huko.
Ngoja nimpe ujanja maana anaogopa kichambo changu cha hadharani, ajiunge kimyakimya anifuate PM basi? Afanye hivyo kabla ya Ramadan maana atanimiss sana kwa mwezi mzima!
Mfikishie huo ujumbe (najua lazima atakuja na atasoma mwenyewe maana hana jinsi wala kazi zaidi ya kunifuatilia)
Halafu shoga uliyeko huko kwenye blog ya uswahilini hujui hata kusoma profile za watu humu? Mimi si nimeandika ni jobless? Mapovu ya nini? Pole sana maana najua wewe mshamba ulikua hujui kama watu wana profiles huku JF.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaaaa! Jamani nimecheka hadi naulizwa kulikoni?
Nashindwa hata niseme nini maana ni raha iliyoje mtu asiyenijua ananifuatilia kiasi hicho? Aendelee tu asiache bwana maana ananiogopa inabidi akamwage povu huko.
Ngoja nimpe ujanja maana anaogopa kichambo changu cha hadharani, ajiunge kimyakimya anifuate PM basi? Afanye hivyo kabla ya Ramadan maana atanimiss sana kwa mwezi mzima!
Mfikishie huo ujumbe (najua lazima atakuja na atasoma mwenyewe maana hana jinsi wala kazi zaidi ya kunifuatilia)
Halafu shoga uliyeko huko kwenye blog ya uswahilini hujui hata kusoma profile za watu humu? Mimi si nimeandika ni jobless? Mapovu ya nini? Pole sana maana najua wewe mshamba ulikua hujui kama watu wana profiles huku JF.


lazima aje kusoma halaf akachambe Kule,hhhhhaaa
 
nilimkot Evelyn sasa nilikua namuuliza heeeee kumbe nimejikot mieee hhhhaaa
Halaf ndio nini kunifanya mwana wa mwenzio nna kesi na wewe aiseeee

Hahaaaaa umeji quote mwenyewe best. Case gani tena wajameni.
 
lazima aje kusoma halaf akachambe Kule,hhhhhaaa

Kwani hata najali basi? Aseme weeee atajijua mwenyewe.Alianza pilipili na akaacha itakua yeye?
Nampa offer kama anajiamini anikabili hukuhuku, kusemea pembeni ni ishara kua ananiogopa, namnyima usingizi....
Hahahahaaa raha sana kwakweli.
JF yenye members zaidi ya laki mbili mtu ananikomalia mimi tu? Mti wenye matunda matamu ndio hupigwa mawe....asante kwake kwa kuyapenda matunda (comments) zangu.
 
Ngoja nikuambie Dinazard utu uzima dawa. Huyu mtu anajaribu kutengeneza mazingira ya nifah kuchukia watu humu.
Anataka nifah aanze kuwa hisi wale aliowaambia ata wa add. Ila nina uhakika huyu haja addiwa kule na pia ata nifah hajamshirikisha kasoma tuu kwenye comment basi akaona apa apa ngoja nimtengenezee mtu bifu. Na nimeshajua huyu mtu amlenga nani ambae nifah lazma amhisi.
Ila najua nifah ni mwelewa.

My dear cute b, asante kwa kuliona hilo.Binafsi sina hata muda wa kumfuatilia ili nijue yeye ni nani.
Ni upuuzi kumfuatilia mtu nisiyemjua, na nikihisi pia najichumia madhambi.
Halafu nimfuatilie ili iweje? Na mimi si nitakua mwendawazimu zaidi yake?
Yeye aendelee kunifuatilia tu maana hana jinsi zaidi ya kunisoma, halafu hana ujasiri wa kunikabili inabidi akalie lie huko ambako hata siendagi hadi niambiwe kama hivi.
 
Last edited by a moderator:
Yani kaliaaa mpaka basi.
Huruma, au walitaka kitu kidogo?

Mbona huo ubuyu sijaupata jamani? Halafu leo nilikuaje busy hadi insta sijui hata kuna nini.
Niwekee screen shots dear.
 
Back
Top Bottom