mzurimie, mimi nawewe tunapitiaga wakati mgumu sana kupondwa kule kwa Mange kwa kuwa tukiwa tunatoa hoja zetu nzito nzito, misukule inapagawa sana.
Kipekee naomba tuungane wanawake wote wa jukwaa hili katika kampeni ya #BRINGBACK OUR BOi.
Nadhani itazaa matunda.
Huyu wema ni pros...hebu angalia mzigo huo wa kichina uliobebwa na miwa
View attachment 259242View attachment 259243
MashAllah..
Mtoto mtamu.
Semeni kingine
Ukweli nao tuuseme wa miss 06, uzuri wake sio wa kutoa ... pangoni au wow unaoshtusha
😉
MashAllah..
Mtoto mtamu.
Semeni kingine
Nyie mnadhani hata kama hiyo mimba sio yake atasema? Hiyo inaitwa KUFA KIUME!
Kwahiyo wambea tutasubiri sana...
Huu uzi unahusu mimba ya zari sio ya domo.. kwani huwezi kupambana na hoja mpaka umshirikishe wema? Au wema ndo ukwaju? Nimeona na mwingine kasbindwa kwenda na mada kamwingiza adi kiba.
Mapenzi ya Zari na Diamond na mimba yao. Eti haimuhusu Diamond kaeni mkao ibgekuwavya mnaosingizia basi ingekuwa ina wiki mia mbili mimba hiyo. Angalia walikutana lini insta itakupa mawiki, ukimaliza ongeza zile za tangu siku ya kwanza ya hedhi ya mwisho, halafu kaa mkao wa kusubiri usisahau plus na minus 2.
Ikabidi nirushe tbt ya ex wake maan inahusu mengi mnayoshadadia humu.
Wala usitupangie cha kusema
Kama hautaki kuwa mimba ya Diamond, basi subiri kesho tupike na shingogo juu ya watoto wa wasanii ambao hawajaoa kuwa wanasakiziwa na wanalea yaani wanekua mamburulaz maili mia nane bila kujijua
Maan tumechoka kusikia ya Diamond magazetini atiiiiii
Huyu mtu hajielewi angekuwa anajielewa asinge chamba fake id.
Nimemdharau kwa kweli.