Kumbe mimba ya Zari si ya Diamond

Kumbe mimba ya Zari si ya Diamond

halaf anasema yupo humu naona yupo kwa I'd mpya SI unakumbuka ishu ya group nayo kaiongelea kua amemuadd group wakat walisema ukiwa na I'd mpya hakuona kujiunga group

Huyu mtu ni miongoni mwa sisi wambea wa hapa hapa sasa mtu ana chuki zake binafsi anamalizia kwa staili hiyo.
Ila ni fa.la tuu. Mimi kanitaja? Apo ni wapi nikamsome tena nimchambe mb.wa koko yy
 
Huyu mtu ni miongoni mwa sisi wambea wa hapa hapa sasa mtu ana chuki zake binafsi anamalizia kwa staili hiyo.
Ila ni fa.la tuu. Mimi kanitaja? Apo ni wapi nikamsome tena nimchambe mb.wa koko yy


kasome kwa sinta Kuna post mdada Ana shape ya simba hapo hapo
 
sio pazia ni shuka kabisaa

Hahaha hahahaha... Lol nimecheka kweli... Sasa huyu mtu anashindwa nn kuchamba humu kumbe anamuogopa nifah eeeh... Mxiuuuuu zake.... Aje huku tumshambulie
 
Last edited by a moderator:
Hahaha hahahaha... Lol nimecheka kweli... Sasa huyu mtu anashindwa nn kuchamba humu kumbe anamuogopa nifah eeeh... Mxiuuuuu zake.... Aje huku tumshambulie


ni shiiidaaa anaogopa labdaa ,
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom