Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,411
- 82,338
Jana hiyooooo
Ndimu zinahitajika atiiiii
Tuwekee basi na ya Saleh na mama jamani? Nimewamiss mwenzio!
Jana hiyooooo
Ndimu zinahitajika atiiiii
Hahahaaaaaa umesahau...
Zari ni mwanamke anayejiheshimu sio kama wema sepetu.
Zari ana akili ya biashara akiwa na domo sio kama wema sepetu kazi yao ilikuwa kujifungia ndani..
Pyeeeeeeeee anajisheshimu kwa lipi aso na haya binti yule watoto washakuwa wakubwa lakini haishi vituko ni kupiga picha za ajabu na domo kuweka IG kama hazina ya watoto baadae wajivunie michepuko ya mama yao.
Si ndio vizuri mtu anafunga mwezi mzima bila yale mambo kukatisha?
Kwendaraaa, akili ya White Party my foot!
Ile event aliinunua Ruge tena kwa hela mbuzi tu.Unadhani kwanini bibie alikua amenuna? Alivyoona watu wengi na pesa waliyopewa ndio akachanganyikiwa.
Chezea Ruge wewe? Anacheza mziki wake nyuma ya watu, yule muhaya ana akili sana.
Unajua maana ya michepuko?
Picha za ajabu ukirusha wewe ndio unazani ni kila mtu?
Zari yupo juu jamani hadi raha naona mnamzungumzia kwa maumivu yenubwakati yeye kala.lia chake
Jana hiyooooo
Ndimu zinahitajika atiiiii
Kumbe hamuyapendi eenh?? Hahaha. Ila hairuhusiwi. Mtoto anatakiwa apate lishe. Huko tumboni
Kwendaraaa, akili ya White Party my foot!
Ile event aliinunua Ruge tena kwa hela mbuzi tu.Unadhani kwanini bibie alikua amenuna? Alivyoona watu wengi na pesa waliyopewa ndio akachanganyikiwa.
Chezea Ruge wewe? Anacheza mziki wake nyuma ya watu, yule muhaya ana akili sana.
asa si ndo zarina jamani sifa zake hizooo....!!
Gosh, kumbe wewe mwanaume? Ila mimba changa hakuna ubaya kufunga.
Labda ya miezi minne na kuendelea ila mwezi 1-3 mimi naona ni kujiendekeza tu.
Pia usisahau katika Quran tumeambiwa ni sunna tukifanya lolote la kukatisha yale mambo ili tufunge mwezi mzima.
Uwiii shost mpana weyeee kumbe na kununa alinuna...looh adi machozi alilia eti akazuga ni furaha iliyopitiliza...
Kwa hiyo sio kwamba zile pesa zote za viingilio ni zao?...looohhh hahahaaaa ndo maana zari alikuwa anacheza kama hataki
Mwenzangu! Basi Zari ndio mwanamke mrembo na ana IQ kubwa kuliko mwanamke yeyote duniani.
Hiyo imekaaje?
Mwenzangu! Basi Zari ndio mwanamke mrembo na ana IQ kubwa kuliko mwanamke yeyote duniani.
Hiyo imekaaje?
Hahahahaaa, kwani unadhani wale team domo wajanja wa mjini hawajui hii issue? Tena huyo mmoja nina uhakika anajua kila kitu basi tu hawezi kusema.
Achana na wale washamba wengine. ..
Ndio hivyo mwenzangu, ile show iliingiza pesa ndefu tofauti na waliyopewa.
Ni kwa roho hamjui mwanaume hatamie hapa ngoja nkupe...
jamani wifi etu bikira,mzuri,ana miakil ya white party
bikira ambae ana watoto wa3 wa roho mtakavituuu...alishushiwaaa Mrembo by Nature upooo...?!!
miss perfect yy wifi etu
So Wema is less of a person?
Ila Wewe una utani na viumbe wa maulana.
Cc: Mrembo by Nature, Avemaria.
Nyie wote Diva Beyonce warumi nifah nawambia hivi "mwambie rafiki yako akabambie barafiki zake kimenukaaaaa J'Burg!!!! ( in zari 's voice)
Kila laheri kwa baba kijachoHaya haya haya!!tayari kimenuka huko!!Baba kijacho/Icon ya mziki tz/WCB Presdent/Nana hitmaker/na mengine meengiiii!
Habari njema kwa huyu PLATNUM ni kwamba amechaguliwa kugombea kipengele cha BEST AFRICAN ARTIST huko nchini Naijeria katika tuzo za NIGERIAN ENTERTAINMENT AWARDS(NEA).
Wakati huohuo anafanya yake sasa hivi Huko Africa kusini