Kumbe mimba ya Zari si ya Diamond

Kumbe mimba ya Zari si ya Diamond

Hahahaaaaaa umesahau...
Zari ni mwanamke anayejiheshimu sio kama wema sepetu.
Zari ana akili ya biashara akiwa na domo sio kama wema sepetu kazi yao ilikuwa kujifungia ndani..
Pyeeeeeeeee anajisheshimu kwa lipi aso na haya binti yule watoto washakuwa wakubwa lakini haishi vituko ni kupiga picha za ajabu na domo kuweka IG kama hazina ya watoto baadae wajivunie michepuko ya mama yao.

Unajua maana ya michepuko?

Picha za ajabu ukirusha wewe ndio unazani ni kila mtu?

Zari yupo juu jamani hadi raha naona mnamzungumzia kwa maumivu yenubwakati yeye kala.lia chake
 
Kwendaraaa, akili ya White Party my foot!
Ile event aliinunua Ruge tena kwa hela mbuzi tu.Unadhani kwanini bibie alikua amenuna? Alivyoona watu wengi na pesa waliyopewa ndio akachanganyikiwa.
Chezea Ruge wewe? Anacheza mziki wake nyuma ya watu, yule muhaya ana akili sana.

asa si ndo zarina jamani sifa zake hizooo....!!
 
Unajua maana ya michepuko?

Picha za ajabu ukirusha wewe ndio unazani ni kila mtu?

Zari yupo juu jamani hadi raha naona mnamzungumzia kwa maumivu yenubwakati yeye kala.lia chake

Heheheeeeeee zari anachepuka kwa ndomo AKA serenget boy. Na hajiheshimu
 
Kumbe hamuyapendi eenh?? Hahaha. Ila hairuhusiwi. Mtoto anatakiwa apate lishe. Huko tumboni

Gosh, kumbe wewe mwanaume? Ila mimba changa hakuna ubaya kufunga.
Labda ya miezi minne na kuendelea ila mwezi 1-3 mimi naona ni kujiendekeza tu.
Pia usisahau katika Quran tumeambiwa ni sunna tukifanya lolote la kukatisha yale mambo ili tufunge mwezi mzima.
 
Kwendaraaa, akili ya White Party my foot!
Ile event aliinunua Ruge tena kwa hela mbuzi tu.Unadhani kwanini bibie alikua amenuna? Alivyoona watu wengi na pesa waliyopewa ndio akachanganyikiwa.
Chezea Ruge wewe? Anacheza mziki wake nyuma ya watu, yule muhaya ana akili sana.

Uwiii shost mpana weyeee kumbe na kununa alinuna...looh adi machozi alilia eti akazuga ni furaha iliyopitiliza...
Kwa hiyo sio kwamba zile pesa zote za viingilio ni zao?...looohhh hahahaaaa ndo maana zari alikuwa anacheza kama hataki
 
Gosh, kumbe wewe mwanaume? Ila mimba changa hakuna ubaya kufunga.
Labda ya miezi minne na kuendelea ila mwezi 1-3 mimi naona ni kujiendekeza tu.
Pia usisahau katika Quran tumeambiwa ni sunna tukifanya lolote la kukatisha yale mambo ili tufunge mwezi mzima.

Mashallah...... Stay strong



Naondoka ktk hii convo.
 
Uwiii shost mpana weyeee kumbe na kununa alinuna...looh adi machozi alilia eti akazuga ni furaha iliyopitiliza...
Kwa hiyo sio kwamba zile pesa zote za viingilio ni zao?...looohhh hahahaaaa ndo maana zari alikuwa anacheza kama hataki

Hahahahaaa, kwani unadhani wale team domo wajanja wa mjini hawajui hii issue? Tena huyo mmoja nina uhakika anajua kila kitu basi tu hawezi kusema.
Achana na wale washamba wengine. ..

Ndio hivyo mwenzangu, ile show iliingiza pesa ndefu tofauti na waliyopewa.
 
Hahahahaaa, kwani unadhani wale team domo wajanja wa mjini hawajui hii issue? Tena huyo mmoja nina uhakika anajua kila kitu basi tu hawezi kusema.
Achana na wale washamba wengine. ..

Ndio hivyo mwenzangu, ile show iliingiza pesa ndefu tofauti na waliyopewa.

Hahahaaaaa kumbeeeee
 
nendeni kwa fontanacute ig mkaona mambo hukoo
team nisha walivyo washenzii
 
Haya haya haya!!tayari kimenuka huko!!Baba kijacho/Icon ya mziki tz/WCB Presdent/Nana hitmaker/na mengine meengiiii!

Habari njema kwa huyu PLATNUM ni kwamba amechaguliwa kugombea kipengele cha BEST AFRICAN ARTIST huko nchini Naijeria katika tuzo za NIGERIAN ENTERTAINMENT AWARDS(NEA).

Wakati huohuo anafanya yake sasa hivi Huko Africa kusini
Kila laheri kwa baba kijacho
 
Back
Top Bottom