Kumbe mimba ya Zari si ya Diamond

Kumbe mimba ya Zari si ya Diamond

Hahahahaa eti kitanda hakizai haramu...khaaaa!

Kwa situation ka hii hamna cha haramu wala nini. Haya ni maneno tu ya kujifariji buaaaana yani mtu akudaganye hafu ujifariji kitanda hakizai haramu. Pole zake inauma sana tuuu.
 
hahahaaaaaaa........
umepanikiiiiii....
nasema hivi zari malayaaaaaaaaa......tena fuskaaaa,kahaba mzoefuuuuuuu......
asiejithamini ndio maana kapigwa mimba ht kondomu za miaaaa.....?!!

woyooooooooo....
na mam angu huko aliko anajua alichokifanya

muambie zari aache umalayaaaaaaaaaaaaaaaaa.........

Huyo ni mzoefu tu kaja na I'd nyingine mwbie aje na I'd yake iliyozoeleka.
 
Ewaaa umenikumbusha kitu ambacho nilisahau.
Huyo Domo anamuambia Kiba anakula makombo yake kwa Jokate amesahau yeye alivyokula makombo ya Kiba kwa Wolper?
Hakumbuki Wolper alitangaza Kiba ndiye aliyemfundisha mapenzi?

Nyani haoni ...... Lake sasa yake ndo pasua kichwa hasa alivo ndandia treni kwa mbele na kujipatia makombo yaliyo chacha je😱Na apunguze kuwa judgemental kwa wengine mzee wa kutoshushwa.
 
We kweli boga kama mnyama ningekuita kondoo na kama ndege wewe bata....
Kamfufue mama yako muulize na unawezaje kupima mtoto hajazaliwa? S

ivi mtu gani wewe usie na aibu na marehemu?
Hujafiwa ndio maana.Tema matr chini.
Umekosa busara.
 
hahahaaaaa switie una akili sana ujuee
shangaaa id mpyaa
ni upathetic wa hali ya juu kunivamia kwa id zingine du
pole yao jamani duuhhh
kumbe ma@zingifuri wako wengi eeehhh
mimi hii moja yatosha tu

Mazingi zero wako wengi tu humu huyu kaja na I'd nyingine uzalendo umemshinda kabisa ana mahasira huyo.
In short hajiamini ale malimao kukata shombo in gwajimaz voice.
 
ivi mtu gani wewe usie na aibu na marehemu?
Hujafiwa ndio maana.Tema matr chini.
Umekosa busara.

achana nae huyoooo best amepaniki hatariuiu
mie simkohoi httttt....
kielimu changu kinansaidia kudeal na speshi case km hawaw....
hapa nj mwendo wa burdanii tuuu
 
Mazingi zero wako wengi tu humu huyu kaja na I'd nyingine uzalendo umemshinda kabisa ana mahasira huyo.
In short hajiamini ale malimao kukata shombo in gwajimaz voice.


hhhahaaaaaaaaaa...ukiskia paaaaaaa....!!!
mie hao hawansumbui ht kidogo
km nadeal na watoto 1000 ukiwa zamu na wale 245 wa kila j3 hadi ijumaa na tena walioko adolescence
pyubati iko juu
huyu ushuzi mi hanishtui ht kidogoooo
ht mshipa wa nywele husimamii
 
Bibie umri bado so hamu y kukunwa anayo sasa afanyaje ila hiyo familia ina shida mama ana dogodogo na dada ana mdananda yani majanga

Ndio maana domo anatafuta pesa hadi anafanya vitu vya ajabu ili apate kick mjini hapa.
Mama ana serengeti dada ana marioo, hatari sana!
 
Hahahaaaaa mimi naombea iwe yake maana kuna watu humu mtaama jukwaa
Ha ha ha nihame kisa? We mbona huwa huami party za boss wako zikibuma afu uliniahidi picha za insta party ziko api, boss wako alidanganya kaolewa mbona haukuhama?ha ha ha
 
Hata kama ni trillion moja bado haibadilishi kuwa ni Malaya. Na ihyo biashara ilianza tangu kale kabla hata ya kugundulika kwa hela.
Sijakataa ila ni ......asojielewa uuupss duh teh nashindwa kumuita malaya utanisaidia buana
 
Ndio maana domo anatafuta pesa hadi anafanya vitu vya ajabu ili apate kick mjini hapa.
Mama ana serengeti dada ana marioo, hatari sana!

Best domo anapambana bila hata hizo kiki mungu akipanga riziki zinakuja tu.....ukweli domo mungu kambariki na nyota ndio imewaka asijisahau 2 awekeze mana familia yote inamtegemea yeye
 
Back
Top Bottom