Kumbe mimba ya Zari si ya Diamond

Kumbe mimba ya Zari si ya Diamond

Yaani nimemsaka kama anarusha kwingine simuoni maana ile ni ilikuwa tamu utadhani anaiongelea kim mwenyewe

Unaweza ukasema Kim mwenyewe kaamua kukinukisha.
Yani afu ilikua tamuu...haijadumu hata dakika 0.
Le mutuz mwenyewe alimdiss dadake Ig
 
hahaaaaaa ndo mana mnafeli mashuleni ndo umeongea nini sasa...!!
mi nimesema daimond mimba si yakeeee...

hebu kanye kuleee...!!

elewa somo mbwiga weweee.....

mimi mama angu yupo kaburini halafu sasa nipo copy right na baba kudadaeki
lilikua bonge la bao mzee alitungua nikatoka mkyuti mimi...

una swaliiiii......?!!!!!!!!!

We kweli boga kama mnyama ningekuita kondoo na kama ndege wewe bata....
Kamfufue mama yako muulize na unawezaje kupima mtoto hajazaliwa? S
 
Hata kama mimba si ya Diamond,huyo mtoto ni wa kwake.Kitanda hakizai haramu atiiiii!
 
Unaweza ukasema Kim mwenyewe kaamua kukinukisha.
Yani afu ilikua tamuu...haijadumu hata dakika 0.
Le mutuz mwenyewe alimdiss dadake Ig

Mie na tabia yangu ya ku screenshot kabla sijasoma mistari hata mitano nikajikuta nimejisahau nasoma tu baadae hiyooooooo imekitoa duh
 
Kumbe hapo bibie yuko sawa katafuta damu changa istoshe huyo kijana alikua n roho ngumu mana maza sura ngumu kma kala ukwaju.....pia nae ni binadamu ana ashkimajinun kma wengine

Hahahahaa nilikua sitaki kucheka tena maana leo nimecheka kutwa nzima! Ila umenifanya nicheke tena..
 
hahahaaaa mwenyewe anajiona analipa bwan saleh kaoa lakini
bi mkubwa kapagawa hatariii

Haki y mama bi mkubwa anasura ngumu n domo sasa huyo kijana anapata shida wakti w romance
 

Attachments

  • 1434042028889.jpg
    1434042028889.jpg
    26.9 KB · Views: 202
We kweli boga kama mnyama ningekuita kondoo na kama ndege wewe bata....
Kamfufue mama yako muulize na unawezaje kupima mtoto hajazaliwa? S

eti wapi nimesema mimba si ya daimond mbwiga weweee...?!!nionyeshe kwanza kabla hujadandia gari kwa mbele?
 
We kweli boga kama mnyama ningekuita kondoo na kama ndege wewe bata....
Kamfufue mama yako muulize na unawezaje kupima mtoto hajazaliwa? S

hahahaaaaaaa........
umepanikiiiiii....
nasema hivi zari malayaaaaaaaaa......tena fuskaaaa,kahaba mzoefuuuuuuu......
asiejithamini ndio maana kapigwa mimba ht kondomu za miaaaa.....?!!

woyooooooooo....
na mam angu huko aliko anajua alichokifanya

muambie zari aache umalayaaaaaaaaaaaaaaaaa.........
 
Kumbe hapo bibie yuko sawa katafuta damu changa istoshe huyo kijana alikua n roho ngumu mana maza sura ngumu kma kala ukwaju.....pia nae ni binadamu ana ashkimajinun kma wengine

Hahaaaaa haaaa umenichekesha sana aisee anko Salehe kavumilia mno. Hahaaaa ukwaju teh teh teh.
 
Cha kuchekesha anawaambia wenziwe wanakula makombo. Makubwa haya jamani...😮

Ewaaa umenikumbusha kitu ambacho nilisahau.
Huyo Domo anamuambia Kiba anakula makombo yake kwa Jokate amesahau yeye alivyokula makombo ya Kiba kwa Wolper?
Hakumbuki Wolper alitangaza Kiba ndiye aliyemfundisha mapenzi?
 
Back
Top Bottom