Kumbe mimba ya Zari si ya Diamond

Kumbe mimba ya Zari si ya Diamond

Acha tu.Ndio Mange na misukule yake kujidai eti tunamjadili yeye tu.
Sijui hajioni kama ana damu ya kunguni? Mimi ananifurahishaga mara chache tu.

Tumjadili yeye tu!
Ooh mama, hapa tunajadili kila kinachokuja mbele yetu.
Ambacho mtu unadhan unalo la kuchangi.
Ivi anajua jf kuna majukwaa mangapi?
 
Watu wengi wanapenda ita watu kama Zari malaya hata wanaume majina hawana

Sasa wao hao wengi wakihesabu mipini iliyowaingia duh hata wenyewe wanaona kinyaaaaaaa

Ndio maisha hayo

Ikija kwa Zari apewe sifa alikaa kwenye ndoa miaka mingi na kujipatia wanawe.

So kama akiondoka na kutoka na yule mganda basi hapi sio kuja kutaka aachwe na Diamond na kusingixia ya Katunzi.

Sasa hapo sasa inauma wengi sababu Diamond ndio kafika na hata hajafanya wengi wanayotaka afanye kama kumuacha Zari.

Umefika muda muwaache sasa walale, au endeleeeni maana udaku kama huu ndio unawafanya wapenzi hao wazidi kujilikana.

Kumekuchaaaaaaaaaa
Ni mie mdau
 
kama aliyebeba mimba ya baba mwingine kudhihirisha kwamba haogopi maradhi
hata kondomu za mia hawakutumia
zarina malaya mchafu tuu

Duh unamwita mwanamke usiyemjua kuwa ni mchafu sasa umejuaje?

Naona anakukimbiza ni nini alichonacho umetokea kumchukia na umemjua alivyoanza kutoka na Diamond?

Duh hasira za nini? U ajua maneno yako sio ya kweli, angekuwa mchafu asingekuwa kwenye class aliyomo kwa mengi anayofanya duniani.
 
Hahahahaaaa, hivi ule uzi wenye gazeti la Kimbambangala kwanini ulifutwa?
Ule ubuyu mtamu sijapata kuona!

Ule nilirudi kuusoma maana majina na tabia yake nilikuwa bado naishangaa mara hiyooooo haipo. Ilikuwa duh
 
Hiyo ndio slogan wanayoitumia magazeti ya udaku kupiga hela......
 

Attachments

  • 1434038257572.jpg
    1434038257572.jpg
    24.2 KB · Views: 270
Network inashika then inakata cjui serengeti boy cjawasoma ovaa

mama daimond kaopoa dogodogo kwa jina la saleh so wametemana
ndo mama wa rummy kampigia simu shemeji yaks kumuombea amrudi mama dai
woyooi wakarekodiwa
hahaahhaaaa
 
mama daimond kaopoa dogodogo kwa jina la saleh so wametemana
ndo mama wa rummy kampigia simu shemeji yaks kumuombea amrudi mama dai
woyooi wakarekodiwa
hahaahhaaaa

Kumbe hapo bibie yuko sawa katafuta damu changa istoshe huyo kijana alikua n roho ngumu mana maza sura ngumu kma kala ukwaju.....pia nae ni binadamu ana ashkimajinun kma wengine
 
Kumbe hapo bibie yuko sawa katafuta damu changa istoshe huyo kijana alikua n roho ngumu mana maza sura ngumu kma kala ukwaju.....pia nae ni binadamu ana ashkimajinun kma wengine

Ha ha ha ha
Sura ngumu kama kala nini?
Koh koh koh!
You mada my day kaah!
 
Duh unamwita mwanamke usiyemjua kuwa ni mchafu sasa umejuaje?

Naona anakukimbiza ni nini alichonacho umetokea kumchukia na umemjua alivyoanza kutoka na Diamond?

Duh hasira za nini? U ajua maneno yako sio ya kweli, angekuwa mchafu asingekuwa kwenye class aliyomo kwa mengi anayofanya duniani.

ungejua nnavyompenda zari usingesema
na nimeanza kumjua kabla ht huyo daimond hajapanda ndege labda nkwambie

tena mie wema wala si shabiki wake ila penye ukweli tuseme jamani

hv zari watoto wa3 baba mmoja kaona haitoshi kenda kutibua mshono kuchanganya mababa

wanawake wenzie wanaomba wazae watoto wa mzazi mmojw ye ndo kwanza kajibebesha mimba
na leo nimeamua kuongea maana nimeona mnaponda sana wema km hajazaliwa na mwanamke au km aliokotwa vile mtoto wa mwanamke wa watu

watu wanapata wapi ujasiri wa kumwita wema malaya wakati hana ht mtoto mmoja wakati zari aliolewa for 12yrs leo kaona haitoshi kenda beba mimba y mtoto mdogoo

angekua ndo wema mngemtetea

mimi sina double std jamani wala unafki penye ukweli tuseme
zari nakupenda sana ila acha uchafu umalaya wa zari wa kianalojia kabisaaa
 
Kumbe hapo bibie yuko sawa katafuta damu changa istoshe huyo kijana alikua n roho ngumu mana maza sura ngumu kma kala ukwaju.....pia nae ni binadamu ana ashkimajinun kma wengine

hahahaaaa mwenyewe anajiona analipa bwan saleh kaoa lakini
bi mkubwa kapagawa hatariii
 
ungejua nnavyompenda zari usingesema
na nimeanza kumjua kabla ht huyo daimond hajapanda ndege labda nkwambie

tena mie wema wala si shabiki wake ila penye ukweli tuseme jamani

hv zari watoto wa3 baba mmoja kaona haitoshi kenda kutibua mshono kuchanganya mababa

wanawake wenzie wanaomba wazae watoto wa mzazi mmojw ye ndo kwanza kajibebesha mimba
na leo nimeamua kuongea maana nimeona mnaponda sana wema km hajazaliwa na mwanamke au km aliokotwa vile mtoto wa mwanamke wa watu

watu wanapata wapi ujasiri wa kumwita wema malaya wakati hana ht mtoto mmoja wakati zari aliolewa for 12yrs leo kaona haitoshi kenda beba mimba y mtoto mdogoo

angekua ndo wema mngemtetea

mimi sina double std jamani wala unafki penye ukweli tuseme
zari nakupenda sana ila acha uchafu umalaya wa zari wa kianalojia kabisaaa

Kwani Zari sio mchafu wa tabia?
Nani anabisha?
 
ungejua nnavyompenda zari usingesema
na nimeanza kumjua kabla ht huyo daimond hajapanda ndege labda nkwambie

tena mie wema wala si shabiki wake ila penye ukweli tuseme jamani

hv zari watoto wa3 baba mmoja kaona haitoshi kenda kutibua mshono kuchanganya mababa

wanawake wenzie wanaomba wazae watoto wa mzazi mmojw ye ndo kwanza kajibebesha mimba
na leo nimeamua kuongea maana nimeona mnaponda sana wema km hajazaliwa na mwanamke au km aliokotwa vile mtoto wa mwanamke wa watu

watu wanapata wapi ujasiri wa kumwita wema malaya wakati hana ht mtoto mmoja wakati zari aliolewa for 12yrs leo kaona haitoshi kenda beba mimba y mtoto mdogoo

angekua ndo wema mngemtetea

mimi sina double std jamani wala unafki penye ukweli tuseme
zari nakupenda sana ila acha uchafu umalaya wa zari wa kianalojia kabisaaa

Wivu wivu baalaa tu embu muulize mama yako kama una ujasili nani baba yako?
Waacheni na maisha yao huo ubuyu haukusaidii chochote... Huyo mama ubaya mbona hatujasikia hata kusingiziwa?
 
Wivu wivu baalaa tu embu muulize mama yako kama una ujasili nani baba yako?
Waacheni na maisha yao huo ubuyu haukusaidii chochote... Huyo mama ubaya mbona hatujasikia hata kusingiziwa?

hahaaaaaa ndo mana mnafeli mashuleni ndo umeongea nini sasa...!!
mi nimesema daimond mimba si yakeeee...

hebu kanye kuleee...!!

elewa somo mbwiga weweee.....

mimi mama angu yupo kaburini halafu sasa nipo copy right na baba kudadaeki
lilikua bonge la bao mzee alitungua nikatoka mkyuti mimi...

una swaliiiii......?!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom