Kumbe Menejimenti Team yote ya BAWACHA wamepata Ubunge wa Viti Maalumu

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,004
142,038
Nilidhani yale majina ya Wabunge wa Viti Maalumu wa CHADEMA yalizingatia uwakilishi kama wafanyavyo UWT ya CCM.

Kumbe hawa CHADEMA wamepeleka majina ya viongozi watupu ukiwemo uongozi wote wa BAWACHA yaani Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu, Manaibu Katibu Mkuu, Mtunza Hazina nk.

Ni kama vile BAWACHA imehamia Bungeni.

Hongereni akina Mama wa CHADEMA kwa kujipendelea.

Maendeleo hayana vyama!
 
Wewe unaijua katiba ya Chadema kumzidi Halima James Mdee?!
Mimi kuijua katiba ya chadema kumpita Halima Mdee au kutokuijua katiba ya chadema kumpita Halima mdee haitaondoa kifungu cha sheria cha katiba ya chadema kinachoipa mamlaka kikao cha kamati kuu ya chama kuteua na kupitisha majina ya viti maalum.

Nakuuliza tena,je kuna kikao cha kamati kuu ya chama ambacho kilikaa kuteua na kupitisha majina ya viti maalum?
 
Katika dunia hii ya sayansi na teknolojia itakuwa kilikaa maana hao wabunge wateule wote ni wajumbe wa kamati kuu!
 
Maendeleo hayana chama tupige kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…