johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,038
Wewe unaijua katiba ya Chadema kumzidi Halima James Mdee?!Unavyodai ya kwamba CHADEMA wamepeleka majina ya viongozi watupu ukiwemo uongozi wote wa BAWACHA,kuna kikao cha kamati kuu ya chama kilifanyika ili kuidhinisha na kupitisha majina hayo?
Hapa tunazungumzia Bawacha bwashee!Hakuna jipya sana ingawa sounds nasty, haipendezi kabisa...Kama hii hapa
1. Mlipaji Mkuu wa serikali... Mtoto wa dada
2. Contractor Mayanga... mme wa mdogo wangu (shemeji)
3. Mkuu wa serikali... Rais
4. Mkuu wa hazina.... Mtoto wa dada
Angalau umekubali Bwashee, sasa tunazungumzia BAWACHAHapa tunazungumzia Bawacha bwashee!
Chadema wana ubinafsi sana!Viongozi wa Bawacha wamejipendelea....
Mimi kuijua katiba ya chadema kumpita Halima Mdee au kutokuijua katiba ya chadema kumpita Halima mdee haitaondoa kifungu cha sheria cha katiba ya chadema kinachoipa mamlaka kikao cha kamati kuu ya chama kuteua na kupitisha majina ya viti maalum.Wewe unaijua katiba ya Chadema kumzidi Halima James Mdee?!
Mwenyekiti wa BAWACHA Mungu ambariki kwa uzalendo wake kwa nchi yetu.Hongera kwa mwenyekiti wa BAWACHA kwa uzalendo wa kweli kwa nchi, hongera sana
Good questionUnavyodai ya kwamba CHADEMA wamepeleka majina ya viongozi watupu ukiwemo uongozi wote wa BAWACHA,kuna kikao cha kamati kuu ya chama kilifanyika ili kuidhinisha na kupitisha majina hayo?
Katika dunia hii ya sayansi na teknolojia itakuwa kilikaa maana hao wabunge wateule wote ni wajumbe wa kamati kuu!Mimi kuijua katiba ya chadema kumpita Halima Mdee au kutokuijua katiba ya chadema kumpita Halima mdee haitaondoa kifungu cha sheria cha katiba ya chadema kinachoipa mamlaka kikao cha kamati kuu ya chama kuteua na kupitisha majina ya viti maalum.
Nakuuliza tena,je kuna kikao cha kamati kuu ya chama ambacho kilikaa kuteua na kupitisha majina ya viti maalum?
Mbowe akikaa na hao viongozi 19 wabunge wateule ambao wote ni wajumbe wa CC na kufanya maamuzi hicho ni kikao halali!Good question
Ndugai angewezaje bila kina Halima. Lazima ukubali wakina mama wameuza chamaHao wabunge haijachagua chadema, hao ni wabunge wa ndugai
Maendeleo hayana chama tupige kaziNilidhani yale majina ya wabunge wa viti maalumu wa CHADEMA yalizingatia uwakilishi kama wafanyavyo UWT ya CCM.
Kumbe hawa CHADEMA wamepeleka majina ya viongozi watupu ukiwemo uongozi wote wa BAWACHA yaani Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu, Manaibu Katibu Mkuu, Mtunza Hazina nk nk.
Ni kama vile BAWACHA imehamia bungeni.
Hongereni akina mama wa CHADEMA kwa kujipendelea.
Maendeleo hayana vyama!
Vijana hapo Ufipa chapeni kazi uchaguzi umekwisha!Maendeleo hayana chama tupige kazi