online ndio usiseme..wamechanganya matangazo ay tv na redio sehemu moja huwezi kusikiliza kipi wala kipi? kweli IT bongo ni zero kabisa ,.hawa tbc nao kuna us stream unajiunga tu lakini hawawezi wapo tu wanaboresha vitambi vyao..kizazi kichafu hiki sijui kitapita lini
Nasikiaga clouds tv clouds tv. Urushaji wao wa matangazo ya live kumbe sio.Mlobahatika kuona Katika viwanja vya Readers katika kuuaga mwili wa marehemu Steven Kanumba nahisi mna mengi ya kuchangia.
Clouds TV..... Hamna kitu kabisa!
Hovyooo!
online ndio usiseme..wamechanganya matangazo ay tv na redio sehemu moja huwezi kusikiliza kipi wala kipi? kweli IT bongo ni zero kabisa ,.hawa tbc nao kuna us stream unajiunga tu lakini hawawezi wapo tu wanaboresha vitambi vyao..kizazi kichafu hiki sijui kitapita lini