Kumbe Makongoro Nyerere ni Nshomile kabisa tena bye hatari kabisa

Makongoro muache awe Rais anajua uongozi,anajiamini,na anautambua utu...tunahitaji watu kama hawa aisee

Huyu jamaa ana communication skills sana na ametulia vinginevyo tungesikia padorn, sorry mara excuse me n.k ...like father ..like son
 
Jamani kiingereza ni lugha kama lugha nyingine. Kuna Makengeza au Richard Mabala wa Mabalaa anaongea na kuandika kiswahili kwa weledi wa hali ya juu sana. Lakini ni Mwingereza huyu.

Watanzania wakupambana naye kwenye kiswahili cha kila aina (sanifu na cha mitaani) ni wachache sana. Makongoro kumudu (kama anamudu) hamna la ajabu.
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Huyu jamaa ana communication skills sana na ametulia vinginevyo tungesikia padorn, sorry mara excuse me n.k ...like father ..like son

te te te umenichekesha sana....aisee ..ukweli jamaa anajua
 
  • Thanks
Reactions: DSN
He is fluent........hakitafuti kama mwenzangu na miye da gama

kiingereza chake kizuri ndiyo suluhisho la huo umasikini wako ulionao hadi ktk kope zako hizo za macho na ugokoni mwako? watanzania tupoje?
 
So the experience of this guy is:



  • Primary school education
  • Secondary school
  • 10 years of military service
  • Bachelor degree
  • Master degree


CC: Nyani Ngabu, Alinda

Uraisi hauitaji uzoefu sana zaidi ya comittment ya mtu, iangalie Rwanda leo ilipo alafu utwambie Kagame wakati anaingia alikuwa na uzoefu katika kitu gani ambacho ni tofauti sana Mako. Alafu utwambie wakati baba Wa taifa anakuwa raisi alikuwa na uzofu mkubwa kiasi gani tofauti na mwanaye, unataka awe na exp ya uraisi wakati hajawai kuwa raisi?
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Huyu jamaa ana communication skills sana na ametulia vinginevyo tungesikia padorn, sorry mara excuse me n.k ...like father ..like son

alioongea nao pia ni wasomi hivyo no " problem " sasa ngoja aende " naliendele " azungumze hicho kiingereza chake kama hakujikuta kabaki mwenyewe tu ktk podium.
 
kiingereza chake kizuri ndiyo suluhisho la huo umasikini wako ulionao hadi ktk kope zako hizo za macho na ugokoni mwako? watanzania tupoje?

We sema moja acha kuzunguka mbuyu, katika ulichokisikia kuanzia lugha na anavyo imanouver lugha kama tool kuna tatizo?
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Uraisi hauitaji uzoefu sana zaidi ya comittment ya mtu, iangalie Rwanda leo ilipo alafu utwambie Kagame wakati anaingia alikuwa na uzoefu katika kitu gani ambacho ni tofauti sana Mako. Alafu utwambie wakati baba Wa taifa anakuwa raisi alikuwa na uzofu mkubwa kiasi gani tofauti na mwanaye, unataka awe na exp ya uraisi wakati hajawai kuwa raisi?

kumfananisha kagame na huyo au hawa watangaza nia wenu hakika ni kuwatusi watu wa jamhuri ya nchi ya rwanda. watake radhi mkuu.
 
DSN

Asante sana mkuu, lugha ni nyenzo ya mawasiliano na ikitumiwa kwa usahihi basi ni kichocheo kikubwa katika kubargain na kuliletea maendeleo
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: DSN
kumfananisha kagame na huyo au hawa watangaza nia wenu hakika ni kuwatusi watu wa jamhuri ya nchi ya rwanda. watake radhi mkuu.

Ahhhh! sina maana hiyo bwana natolea mifano tu, nachelea usije ukanambia pia niwatake radhi watanzania wenzangu kwa kumtaja baba wa taifa katika huo mfano wa pili, ila umepata point yangu vizuri.
 
Ahhhh! sina maana hiyo bwana natolea mifano tu, nachelea usije ukanambia pia niwatake radhi watanzania wenzangu kwa kumtaja baba wa taifa katika huo mfano wa pili, ila umepata point yangu vizuri.

nashukuru kuwa umeomba radhi kidiplomasia vinginevyo kingenuka au ungekinukisha!
 
we najua ni musungu nyeusi...hellow obama obilo goi...mumesitiwa ndogo na mutu ya bukoba yenyewe kisungu yao ni olo time.
walisema hajui kiingresa, kumbe mitu hii ni hatali namna huu wololooo!
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Asante sana mkuu, lugha ni nyenzo ya mawasiliano na ikitumiwa kwa usahihi basi ni kichocheo kikubwa katika kubargain na kuliletea maendeleo
Umesema jambo la msingi sana ambalo walio wengi hawalioni.uwezo wa lugha ya president umfanya kuwa PROUD na mazungumzo na kuwa anauwezo wa kunegotiate na dialogue yoyote ya kigeni toka kwenye lugha hiyo.Nikupitia lugha hiyo MKAPA alikuwa anauwezo wa kuinfluence baadhi ya mambao japo anamapungufu yake.Ila kwa ujumla lugha inampa mtu CONFIDENCE kumudu majadiliano toka kwenye angle yoyote kwa kuwa ANAIMUDU lugha ya majadiliano.

Hawa wenzetu huwa wako very smart na wanatabia ya kusoma mazingira yetu na hata jisni tunavyofanya nao majadiliano.Ukiwa na bosi mzungu mkiwa mnafanya mjadala na ukawa inferior kwenye lugha atakufanya mbaya sana.Yani atakuendesha kama ROBOT na ukikuta HANA uwezo ni rangi yake ina mfavour mawee utaumia mbaya sana.Na kama ofisi ndiyo ina mabinti wamewazunguka utakoma mbaya.Ila ukitaka muweza lugha ipande na uwe na CONFIDENCE haaa mbona FULL HESHIMA.
 
Jamaa yupo vizuri, sio tu kwa kiingereza bali kwa communication skill. Unaweza kuwa unafahamu lugha vizuri lakini communication skill kama ni mbovu, basi unakuwa hufai ktk shughuri inayohusisha mambo ya diplomacy. Huyu naamini hata ukimshindanisha kwa kiswahili bado communication skill yake itakuwa nzito, yani ule wezo wa kuufikisha ujumbe kwa walengwa kiu rahisi zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom