jamani tuanzie wapi leo. wapi Babii jamani
Kwa kweli ni shida sana...ni bora ukaishi mpanda kuliko darBongo kila kitu ni shida huwezi hata kuweka stop ni kuwahi tu foleni raha ni mikoani tu.
Hapa nimeanzia Babylon ndani jiji la A town....karibu
Bongo kila kitu ni shida huwezi hata kuweka stop ni kuwahi tu foleni raha ni mikoani tu.
Haya sasa,....
Yeah_vizuri mmelijua hilo,...mimi nimehamia kisiju...maake A..town nayo imeanza joto na jam kama dar.
poleni sana kwa foleni mlioko dar, mimi nipo moshi nilikuwa mambuo bar, am on ma way to makumba, then kul bar halafu namalizia ucku la liga clubKwa kweli ni shida sana...ni bora ukaishi mpanda kuliko dar
Mi nilikuwa dar jana ila niko zangu arachuga nakula raha...usisahau kupita Malindi....poleni sana kwa foleni mlioko dar, mimi nipo moshi nilikuwa mambuo bar, am on ma way to makumba, then kul bar halafu namalizia ucku la liga club
Tuanzie samaki samaki then jolly halafu mwisho tunamalizia savanah lodge .......
MP.
nimeisoma iyo ratiba...
samaki tunashtua kichwa...jolly tunafuata yale mambo yetu...
then tunaenda kuserebuka...after party????kitandani...aaah obviously mnataka kubisha sasa...?