Kumbe Lazaro Nyalandu anakimbia mambo !!

Kumbe Lazaro Nyalandu anakimbia mambo !!

"2.Chadema tutazidi kujimaliza,....." Kwanza tangu lini wewe ni Chadema???

Kila mwenye akili atajua kuwa Fred anatamani sana kurudi CDM ila kumekuwa mlima hawezi kuupanda. Natamani sana atulie awaache wenye maamuzi wayafanye. Ati Nyalandu CIA! Hata iwe nini nadhani ccm inawabidi wampeleke Mirembe haraka kabla hajadhurika huyu lulu wenu.
 
Mods toeni hii takataka, huyu mzee anaishushia hadhi jf, haiwezekani aongee maneno machafu kiasi hiki.
 
Good move by Nyalandu.
He's felt the heatwave around the corner and decided to embark himself in a doomed vessel, so that whatever accusations will be levied against him, he'll claim that he's targeted simply because he's moved to the other side!
Only fools dont see this.
 
kwani huyu si ndo wale ng"ombe waliokatika mikia!?
Anashindwa kujipunga hata nzi!!!!
 
Dunia kweli tambara bovu, yaani na wewe Mpendazoe umekuwa Lumumba buku 7!
 
Mbunge wa Singida Kaskazini (CCM), Lazaro Nyalandu atangaza kujivua Ubunge wa Jimbo hilo. Amwandikia barua Spika wa Bunge. - Amesema CCM imepoteza uelekeo na kuomba Wanachama wa CHADEMA kama wataona inafaa wamkaribishe.

Nitashangaa kama Chadema watampokea Nyalandu, kwa sababu:-

1. Nyalandu anatuhuma nyingi sana za ufisadi alioufanya wakati akiwa Waziri wa Maliasili, kitendo cha kumpokea Nyalandu itakuwa sawa na Chadema kubariki ufisadi kwa kukaribisha mafisadi.

2. Chadema tutazidi kujimaliza, wapinzani wetu watatuita tumekuwa Chama Cha Mafisadi na kwamba tumetoka kwenye ajenda yetu ya kupambana na ufisadi. Si unakumbuka tulivyobamizwa wakati wa uchaguzi 2015 tulivyowapokea Mafisadi Lowassa na Sumaye, hali hii itajirudia tena kutwangwa tutakapo mpokea Nyalandu.

3. Nyalandu si msafi na kila kona anajulikana kwa umalaya uliopitiliza, kitendo cha kumpokea Chadema kutatuchafua kwa jamii. Nadhani mnakumbuka sakata lake la kwenda nje ya nchi na Msanii Aunty Ezekiel jinsi tulivyomponda kuwa ni Malaya. Itakuwa jambo la ajabu tukila matapishi yetu.

4. Tusisahau pia sisi Chadema tulimshambulia sana Nyalandu kuuza nyala za Serikali na kuruhusu Wanyama pori kusafirishwa nje ya nchi. Kumpokea ni sawa na kula matapishi yetu, ni sawa na kujigeuza jalala la kupokea wachafu.

5. Nyalandu anakuja kuleta mgogoro mkubwa kati yake na Lema kwani lengo lake haswa ni kuja kugombea Ubunge Arusha Mjini. Kweli tumtenge Lema kisa takataka Nyalandu? Sikubali upuuzi huo.

6. Nyalandu ana tuhuma za kujihusisha na ushoga na ndoa za jinsia moja, kumpokea Nyalandu ni sawa na kuonekana tunakumbatia ushoga na ndoa za jinsia moja.

7. Nyalandu anakwepa madudu aliyoyafanya. Amejimilikisha sana vitalu, kuuza wanyama hai, kupora nyala za Serikali, kujihusisha na ujangili. Ni mtu ambaye atapandishwa muda wowote Mahakamani, hatufahi!

8. Nyalandu ni CIA mwenye uraia wa nchi mbili (Tanzania na Marekani), Chama chetu ni kichanga tusiruhusu CIA kuja kutuchunguza na kuvujisha siri zetu. Hatutabaki salama Chadema.
@Mpendazoe huu ni uzi wa tatu the same topic ndani ya lisaa 1 tu.

dah!!!

mods vipi mmelala? au nchi yetu sasa ndiyo imekuwa ni mwendo wa double standards across the board (kuanzia mama lishe, JF and all the way up to Magogoni)??
 
Hapa mkuu nakuuliza tuu?? Tanroad hakuna madudu??

Nawakumbusha sasa:
Chenge yupo hajahama...
Tibaijuka yupo hajahama...
Kinana yupo hajahama....
Jk...japo anakinga
Mkapa...japo anakinga
Mwinyi ,nadhan unakumbua makandokando yao...
Au mnasubiri wahame ndo mje kuwatusi na kuwatishia kuwafunga????
.
Kiongozi, hakuna haja ya kumuengua mtu ambaye hajafanya kosa la kinidhamu. Waliofanya makosa ya kinidhamu waishaenguliwa na yeyote atakaekosa ataenguliwa. System iliyopo ni chekecheo tosha la kuendesha mchakato. Kila asiyefaa atajishtukia mwenywe baada ya kuona kabaki peke yake.

Katika awamu hii wabaya dhidi ya serikali wataonekana, na wasiostahili watajiengua wenyewe.
 
Aithee Masawe hi ngumu kumesa,naomba niisindikise na mbege kidogo
 
Magufuli baba, huu ni wakati wa kumuonesha nyalandu kwamba madudud yake yanajulikana
 
Teh teh teh! Dah kweli nimeamini siasa ni mchezo mchafu...

Nyalandu leo ni msafi kwa chadema Dah!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom