Jiulize leo nyalandu kaea shujaa huko chademaDunia kweli tambara bovu, yaani na wewe Mpendazoe umekuwa Lumumba buku 7!
Nakubaliana na wewe kwa 100%2. Chadema tutazidi kujimaliza, wapinzani wetu watatuita tumekuwa Chama Cha .....
JPM hakuwahi kuiba.Usiwe mjinga kufananisha vitu ambavyo havifanani!! Kwani Nyarandu akiwa waziri JPM alikuwa mwenyekiti wa CCM au Rais?!
Mbona mmemfugia kinana Geto na anataka kutoka hamtaki???.
Kiongozi, hakuna haja ya kumuengua mtu ambaye hajafanya kosa la kinidhamu. Waliofanya makosa ya kinidhamu waishaenguliwa na yeyote atakaekosa ataenguliwa. System iliyopo ni chekecheo tosha la kuendesha mchakato. Kila asiyefaa atajishtukia mwenywe baada ya kuona kabaki peke yake.
Katika awamu hii wabaya dhidi ya serikali wataonekana, na wasiostahili watajiengua wenyewe.
Msamehe bure huyo mzee, vyuma vimekaza mtaani pagumu.Nakubaliana na wewe kwa 100%
Ila hapo kwenye Bold, hivi Mh. Fred Mpendazoe wewe bado upo upinzani? Mimi nilidhani wewe ni wetu CCM tayari? Au kumbukumbu zangu hazipo sawa?
Mkuu fungua sredi nyingine ya Nyalandu, maana mkia haukukatika vizuri!!!Mbunge wa Singida Kaskazini (CCM), Lazaro Nyalandu atangaza kujivua Ubunge wa Jimbo hilo. Amwandikia barua Spika wa Bunge. - Amesema CCM imepoteza uelekeo na kuomba Wanachama wa CHADEMA kama wataona inafaa wamkaribishe.
Nitashangaa kama Chadema watampokea Nyalandu, kwa sababu:-
1. Nyalandu anatuhuma nyingi sana za ufisadi alioufanya wakati akiwa Waziri wa Maliasili, kitendo cha kumpokea Nyalandu itakuwa sawa na Chadema kubariki ufisadi kwa kukaribisha mafisadi.
2. Chadema tutazidi kujimaliza, wapinzani wetu watatuita tumekuwa Chama Cha Mafisadi na kwamba tumetoka kwenye ajenda yetu ya kupambana na ufisadi. Si unakumbuka tulivyobamizwa wakati wa uchaguzi 2015 tulivyowapokea Mafisadi Lowassa na Sumaye, hali hii itajirudia tena kutwangwa tutakapo mpokea Nyalandu.
3. Nyalandu si msafi na kila kona anajulikana kwa umalaya uliopitiliza, kitendo cha kumpokea Chadema kutatuchafua kwa jamii. Nadhani mnakumbuka sakata lake la kwenda nje ya nchi na Msanii Aunty Ezekiel jinsi tulivyomponda kuwa ni Malaya. Itakuwa jambo la ajabu tukila matapishi yetu.
4. Tusisahau pia sisi Chadema tulimshambulia sana Nyalandu kuuza nyala za Serikali na kuruhusu Wanyama pori kusafirishwa nje ya nchi. Kumpokea ni sawa na kula matapishi yetu, ni sawa na kujigeuza jalala la kupokea wachafu.
5. Nyalandu anakuja kuleta mgogoro mkubwa kati yake na Lema kwani lengo lake haswa ni kuja kugombea Ubunge Arusha Mjini. Kweli tumtenge Lema kisa takataka Nyalandu? Sikubali upuuzi huo.
6. Nyalandu ana tuhuma za kujihusisha na ushoga na ndoa za jinsia moja, kumpokea Nyalandu ni sawa na kuonekana tunakumbatia ushoga na ndoa za jinsia moja.
7. Nyalandu anakwepa madudu aliyoyafanya. Amejimilikisha sana vitalu, kuuza wanyama hai, kupora nyala za Serikali, kujihusisha na ujangili. Ni mtu ambaye atapandishwa muda wowote Mahakamani, hatufahi!
8. Nyalandu ni CIA mwenye uraia wa nchi mbili (Tanzania na Marekani), Chama chetu ni kichanga tusiruhusu CIA kuja kutuchunguza na kuvujisha siri zetu. Hatutabaki salama Chadema.
Huku kwetu muyobhyo ni mboga moja chungu sana na mnonilijua tu mtakuja, bado na mwenzako Jerry Muro
Hii sio hoja ni majungu na fitina tu. Kitu ambacho huwezi kuthibitisha ni majungu tu.Watu Badala ya kujibu hoja wanamshambulia mleta mada! Ni dalili ya kukosa hoja na kushindwa kusafisha makapi yao.
sijui alikuwa anataka aende yeye. eti Fred MpendazoeNimeipenda hii ya kwenda njee na aunt Ezekiel
Wakati akiwa waziri, hakuna mtz aliyewahi kushambuliwa? Anakimbia uozo aliofanya.Nyalandu angeweza kukaa CCM kama kina Chenge na Tibaijuka na asifanywe chochote. Tena ubunge ndo kwanza mwaka wa pili sasa nikushangae wewe Fred ulihama CCM ukatangatanga baada ya kuona ukomo wa ubunge umeisha na huna nafasi. Ulitangatanga mwishowe njaa ikakurudisha na bado unaonekana msaliti tu. Mwenzio angeweza kubaki huko na asifanywe chochote na nzi wa Lumumba. Umenipata? Ameumia kutokana na watu kushambuliwa kwa risasi mchana huku watu wakiendelea kula bata bila kuchukua hatua
kwendaaaaaaa
Tunataka kuona mafisadi wote wamejiunga Chadema. Wacha CCM izaliwe upya.