Vitalis Msungwite
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,269
- 7,771
Katika maisha kuna mambo usipokuwa makini yatakupa presha sana na kukujengea hofu ya maisha. Kuna watu husema mitaani, vijiweni, mitandaoni na kwenye mikusanyiko mbalimbali juu ya zoezi zima la kupima VVU. Na nilipata kusikia sio mara moja tu juu ya hofu wakati wa kupima na kuchukua majibu. Wengi walisema kupima simple ila majibu unaweza kuyakimbia au kuahirisha zoezi kabisa.
Leo kwa Mara ya kwanza nimeenda na wife clinic ili aanze kuhudhuria clinic maana ni mjamzito. Sasa baada ya kukabidhi barua ya ya utambulisho na wife kwenda maabara ikaanza seminar juu ya VVU na UKIMWI. Baada ya seminar nesi akatuuliza kama tupo tayari kwa vipimo, tukajibu "ndio" na zoezi likaanza. Baada ya kuchukuliwa damu kwaajiri ya vipimo, nilikuwa normal kabisa as if hakuna kinachoendelea. Baada ya km dk kadhaa ndio muda wa kupata majibu, bado nilikuwa normal tu na sijaona ugumu wowote katika zoezi zima. Kwani wanaosema "Kupima sio kazi kuchukua majibu" huwa wanakutana na ugumu kivipi? Mbona simple tu!!. Wapelekeni wake zenu clinic mambo ni simple tu kule.
UPDATES 28 JANUARY 2019
Aisee mtoto aliyefanya nikapime kazaliwa Jana. Amezaliwa Jana mida ya saa kumi jioni, ni mtoto wa kiume ila bado hana jina.
Leo kwa Mara ya kwanza nimeenda na wife clinic ili aanze kuhudhuria clinic maana ni mjamzito. Sasa baada ya kukabidhi barua ya ya utambulisho na wife kwenda maabara ikaanza seminar juu ya VVU na UKIMWI. Baada ya seminar nesi akatuuliza kama tupo tayari kwa vipimo, tukajibu "ndio" na zoezi likaanza. Baada ya kuchukuliwa damu kwaajiri ya vipimo, nilikuwa normal kabisa as if hakuna kinachoendelea. Baada ya km dk kadhaa ndio muda wa kupata majibu, bado nilikuwa normal tu na sijaona ugumu wowote katika zoezi zima. Kwani wanaosema "Kupima sio kazi kuchukua majibu" huwa wanakutana na ugumu kivipi? Mbona simple tu!!. Wapelekeni wake zenu clinic mambo ni simple tu kule.
UPDATES 28 JANUARY 2019
Aisee mtoto aliyefanya nikapime kazaliwa Jana. Amezaliwa Jana mida ya saa kumi jioni, ni mtoto wa kiume ila bado hana jina.