Nesi mkunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 701
- 1,840
Nachukia ndoa na wala sipendi watu wanaofurahia ndoa zao na wala nawachukia those people who start to establish relationship na kwamba ndoa ni utapeli na kupotezeana muda tu and I hate those woman even my sister I hate too
Nasumbuliwa na post traumatic syndrome yaani ambapo nikitaka kuoa au kuingia kwenye mahusiano najikuta nachukia naona wanawake wote ni sawa yaani nahisi wanawake wote ni nyoka na nawachukia sana hao wanawake
Nahitaji ushauri nifanyeje? Nachukia watu wote walio kwenye ndoa wale wote wenye furaha kwenye ndoa naona na juzi nusu nimpige risasi mwanamke ambaye niko nae kwenye mahusiano!NAWACHUKI
Nasumbuliwa na post traumatic syndrome yaani ambapo nikitaka kuoa au kuingia kwenye mahusiano najikuta nachukia naona wanawake wote ni sawa yaani nahisi wanawake wote ni nyoka na nawachukia sana hao wanawake
Nahitaji ushauri nifanyeje? Nachukia watu wote walio kwenye ndoa wale wote wenye furaha kwenye ndoa naona na juzi nusu nimpige risasi mwanamke ambaye niko nae kwenye mahusiano!NAWACHUKI