Mbona ke wa Kiafrika nao wanajaza mifomo cc Uwoya?Wanawake wa kizungu wana midomo myembamba, wanawake wa kiafrika wana midomo minene fuatilia, nadhani wazungu wanapendezwa na midomo minene ya wanawake wa kiafrika, mwanamke wa kiafrika kuvimbisha hivyo midomo ni ujinga...
Ni ujinga na kutokujitambua...Mbona ke wa Kiafrika nao wanajaza mifomo cc Uwoya?
Mb..ooo inahangaikiwa sanaHadi kiharage kinachomwa sindano sikuhizi ili kiwe kinene na kirefu
Nyuma ya mahangaiko yote haya ni mwanaume🚮
Kam wa wemuHuu urembo wa wanawake kujiumua lips ni kwa wazungu tu au Waafrika pia?
View attachment 3419871
Ni ujinga sana..,.tunajisahau kuwa hata vichaa wanapewa mimba na wanaume timamu.... wanaume wapo wengi tu tena hata hawahitaji complications zote hizo....kikubwa uwe na tobo basii🙄Mb..ooo inahangaikiwa sana
Hahahaha.....mara mataku, mara nini sijuiMb..ooo inahangaikiwa sana
au sio!Ni ujinga sana..,.tunajisahau kuwa hata vichaa wanapewa mimba na wanaume timamu.... wanaume wapo wengi tu tena hata hawahitaji complications zote hizo....kikubwa uwe na tobo basii🙄
Kabisa kabisa 🤣🤣🤣au sio!
Hata wenye shape nzuri na madrako ni wanawake wa kiafrika lakini wanahangaika kuyafumuaWanawake wa kizungu wana midomo myembamba, wanawake wa kiafrika wana midomo minene fuatilia, nadhani wazungu wanapendezwa na midomo minene ya wanawake wa kiafrika, mwanamke wa kiafrika kuvimbisha hivyo midomo ni ujinga...
Wanapenda attention za wanaume na labda wamefanya ndo kivutio cha wateja si unajua mfanyabiashara anajua wateja wake wanahitaji bidhaa ya aina ganiNi ujinga sana..,.tunajisahau kuwa hata vichaa wanapewa mimba na wanaume timamu.... wanaume wapo wengi tu tena hata hawahitaji complications zote hizo....kikubwa uwe na tobo basii🙄
Daah ila hapo kwa vichaa kupewa mimba.... DaaahNi ujinga sana..,.tunajisahau kuwa hata vichaa wanapewa mimba na wanaume timamu.... wanaume wapo wengi tu tena hata hawahitaji complications zote hizo....kikubwa uwe na tobo basii🙄
Hii mbn kali🤣Hadi kiharage kinachomwa sindano sikuhizi ili kiwe kinene na kirefu
Nyuma ya mahangaiko yote haya ni mwanaume🚮
Balaa tupu mkuu😔Hii mbn kali🤣
Wanapewa bro,yaan hatari tupuDaah ila hapo kwa vichaa kupewa mimba.... Daaah