🤣🤣🤣 umenikumbusha kuna siku nipo kwenye daladala, jamaa kasimama kwenye siti niliyokuwa nimekaa. Mwamba katoa macho mazima kajisahau. Ghafla nikafungua camera ya mbele, 😆😆😆 alitoa sura fastaAcha tabia yakua unasikiliza mazungumzo ya watu wengine wanapoongea kwenye simu,
Mind your own business.
Mara nyingi misiba ya boda boda ibada zao huwa hivi
Aliyeelewa hapa anisaidie.umenikumbusha kuna siku nipo kwenye daladala, jamaa kasimama kwenye siti niliyokuwa nimekaa. Mwamba katoa macho mazima kajisahau. Ghafla nikafungua camera ya mbele,
alitoa sura fasta
Mkuu tuombe samahani, mimi ni mnyakyusa lakini suala la kulia kwangu ni gumu mnoWanyakyusa huishi maisha hayo ya kulia misibani tangu utoto ko atalia kwa weredi kwa muda na kiwango unacho hitaji.
Wwe ni wa dar?Mkuu tuombe samahani, mimi ni mnyakyusa lakini suala la kulia kwangu ni gumu mno
Hapana mkuu mimi ni wa tukuyu (masoko) tunapaitaga kutukuju kusouthWwe ni wa dar?
Nenda kyela ufundishwe kuliaHapana mkuu mimi ni wa tukuyu (masoko) tunapaitaga kutukuju kusouth
Kwakweli 😌Huo ndiyo kwel
What😮!Dunia inasarakasi nyingi,kuna watu wa kulia msibani pia wanakodishwa.wanandugu mnaweza kupiga kimya wale mabwege ndio wanalia mpaka wanagalagala.