mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,874
- 106,132
Sina maneno mengi Acha mjionee wenyewe
Mimi hiki ndiyo kituko changu cha mwezi kila nikitaka kucheka naitazamaNi nini hiki wakuu 😭😭🤣🤣🤣 jamaa kaamua ashushie na kinywaji kumkanda profesa wa CCM
View attachment 2697551
Yaani hapa ndio tutaulizwa haya maswali huko South Africa, kwamba wakati tunasaini huu nkataba (au makubaliano kama wanavyoita) tulikuwa tumekunywa gongo ya wapi? Hapo tatizo mwaka 2013 kuna mtu alikula rushwa akasaini, Itakuwa Kikwete tu huyo..
Kwani huyo mheshimiwa ni nani??? ni wa tz??Mimi hiki ndiyo kituko changu cha mwezi kila nikitaka kucheka naitazama
Profesa mrumaKwani huyo mheshimiwa ni nani??? ni wa tz??
Thread 'Lissu alikuwa sahihi kusema report ya Prof. Mruma ni "Professorial Rubbish"' Lissu alikuwa sahihi kusema report ya Prof. Mruma ni "Professorial Rubbish"Kwani huyo mheshimiwa ni nani??? ni wa tz??