Kumbe Japan anamgwaya N. Korea.

Kumbe Japan anamgwaya N. Korea.

Katiba ya Nchi yake hairuhusu Japan kwenda pigana nje ya mipaka yake
 
Mkuu hizi chenga!. Japan hana nuclea siraha hata moja!.
Hata siraha zake za kutengeneza zina mwisho wa uwezo wake. Hana kibali cha kutengeneza siraha za nuclea!
Juz hapa walijaribu siraha za kutungulia makombora ya north ila leo wameshindwa kutungua tena!.
Kwa sasa sio South korea au Japan wanaweza kushindana na North kwa siraha!.
Baada ya dakika 6 toka North amerusha Kombora, south wakajibu kwa kurusha makombora mawili kwenye bahari kwa umbali ule ule ambapo north amerusha kombora lake. Lakini hawakuweza kulitungua ilo dude la north
South hawakurusha makombora ya kutungua kombora la North. Walichofanya, na wao walirusha makombora mawili ya balistiki (ballistic missiles) ya masafa marefu kama ambavyo jana yake walivyorusha cruise missiles zao mpya toka kwenye ndege.
Pia hilo kombora lilikua detected na Marekani lakini hawakutaka kulitungua
eb7fd93f5f583568c9281f8da0ef6daa.jpg
 
Hapana Mkuu, Kim anamtoto, kumbuka hivi karibuni ntoto wake alipewa cheo cha kuteni akiwa na almost 8 years
Mbona ndo kaoa???? Kumbe mh huo ukoo utamaliza watu sasa. nilifikiri ndo wanaishia.
 
Huyu japan tangu amlambe miguu marekani nae kawa gasho.kweli kweli japan enzi hizo wanaume ndani ya kamikaze mission ukisikia BHANZAAAAAI jua kidume kishaaga kwao sasa hivi japan anajifungia garage tu ila KIM ndugu subiri katoyota kangu kafike ndo uanze hiyo safisha safisha huko
 
South hawakurusha makombora ya kutungua kombora la North. Walichofanya, na wao walirusha makombora mawili ya balistiki (ballistic missiles) ya masafa marefu kama ambavyo jana yake walivyorusha cruise missiles zao mpya toka kwenye ndege.
Pia hilo kombora lilikua detected na Marekani lakini hawakutaka kulitungua
eb7fd93f5f583568c9281f8da0ef6daa.jpg
Nakubaliana na ww!!!,ila kombora moja lilifeli,
Walishindwa mkuu.sio kwamba hawakutaka..
Wanaogopa wakishindwa yale ma dude yao waliyoyauza huko arabuni,japan na south korea....
Mechanisim ya kutungua yale madude ni sawa kupiga risasi kwa risasi nyingine!. Kama umeshawai kuangalia wanted ya Angelie Julie Utaelewa.
Ivyo anaogopa kutungua afu akakosea maana itakuwa ni balaa.
Unadhani Marekani na kelele zake na mbwembwe zake angeshindwa kutungua izo Missle kama angekuwa na uwezo??.
 
Nakubaliana na ww!!!,ila kombora moja lilifeli,
Walishindwa mkuu.sio kwamba hawakutaka..
Wanaogopa wakishindwa yale ma dude yao waliyoyauza huko arabuni,japan na south korea....
Mechanisim ya kutungua yale madude ni sawa kupiga risasi kwa risasi nyingine!. Kama umeshawai kuangalia wanted ya Angelie Julie Utaelewa.
Ivyo anaogopa kutungua afu akakosea maana itakuwa ni balaa.
Unadhani Marekani na kelele zake na mbwembwe zake angeshindwa kutungua izo Missle kama angekuwa na uwezo??.
Mkuu lilifeli kivipi wakati hawakutaka kulitungua?!
Hivi unajua kwamba hizo interceptor ni ghali sana,mfano interceptor ya THAAD ni dola milioni 3,Patriot ni dola milion 1.5-2,S400 ya Urusi ni dola milion 2.Sasa ulitaka watu watungue kitu kilicho tupu hakina madhara yoyote kinapita tu njia?!
 
Hahaha Umaskini haupambiki. Ww unadhan japan atakuw na siraha za kumpga N.K? Huyo chizi ni chiz gan asiyezuiliwa mpk Leo? Pia lazm utie shaka nguvu ya Huyo chizi. Hata hvyo ushasema chizi Y akuzd maarfa
It is all about geopolitics. Huwezi kutaja NK bila China na Russia, vilevile huwezi kutaja USA bila Japan na South Korea. USA ina military bases Japan (Okinawa Island) na South Korea. Ndo Kusema NK ikiipiga Japan, inaipiga USA. By the way, nimekujibu bila kuelewa kama unamaanisha 'atakuwa' (have/has) au 'hatakuwa' (have no/has no).
 
Mkuu lilifeli kivipi wakati hawakutaka kulitungua?!
Hivi unajua kwamba hizo interceptor ni ghali sana,mfano interceptor ya THAAD ni dola milioni 3,Patriot ni dola milion 1.5-2,S400 ya Urusi ni dola milion 2.Sasa ulitaka watu watungue kitu kilicho tupu hakina madhara yoyote kinapita tu njia?!
Mkuu izo ni ghalama za mfumo mzima au kombola la kutungulia icbm???
Halafu mnakosea saana kusema icbm zikiwa hazina warhead sio siraha!!.au hazina madhara
Kombola ni kombola hata kama halijawekewa hizo nyuklia bado linaweza kuleta madhara!.
Ivyo unadhani ingeanguka kwenye majengo isingeleta madhara???.
 
Mkuu izo ni ghalama za mfumo mzima au kombola la kutungulia icbm???
Halafu mnakosea saana kusema icbm zikiwa hazina warhead sio siraha!!.au hazina madhara
Kombola ni kombola hata kama halijawekewa hizo nyuklia bado linaweza kuleta madhara!.
Ivyo unadhani ingeanguka kwenye majengo isingeleta madhara???.
Hizo ni gharama za kutungulia kombora, halafu mkuu Leo NK hajarusha icbm, karusha irbm(la masafa ya kati).
Halafu duniani ni nchi tatu tu Israel,Russia na Marekani ndo zina mifumo ya kutungulia icbm na gharama yake so mchezo, mfano huo mfumo wa Marekani (GBMD) kombora moja linacost had dola milioni 10($10M).

Mkuu hayo makombora anayorusha NK hayana silaha yoyote anayarusha yakiwa matupu kuangalia uwezo wake ndo maana hawangaiki kuyatungua maana ni upotevu wa fedha.
 
Kama wewe una akili timamu lakini humuogopi chizi aliyeshika panga kiasi cha kuamua kupita karibu yake kisa tu na wewe una panga, werevu lazima tutilie shaka umakini wako. Haiwezekani uwe mtoni unaoga, aje mwendawazimu abebe nguo na kukimbia nazo, halafu na wewe utoke kwenye maji uanze kumkimbiza kisa una mbio sana.

NK ina bargaining chip ambayo ni nuclear weapons. Hakuna nchi itaigusa NK. Hata USA wakitaka kuipiga NK watahitaji timing kali kama ya kumchinja kobe. Nuke haifai, imagine miaka 30 baada ya ajali ya nuke ya Chernobyl, mpaka sasa eneo hili halikaliki.
Umeongea point sana mkuu
 
Hizo ni gharama za kutungulia kombora, halafu mkuu Leo NK hajarusha icbm, karusha irbm(la masafa ya kati).
Halafu duniani ni nchi tatu tu Israel,Russia na Marekani ndo zina mifumo ya kutungulia icbm na gharama yake so mchezo, mfano huo mfumo wa Marekani (GBMD) kombora moja linacost had dola milioni 10($10M).

Mkuu hayo makombora anayorusha NK hayana silaha yoyote anayarusha yakiwa matupu kuangalia uwezo wake ndo maana hawangaiki kuyatungua maana ni upotevu wa fedha.
Mkuu yangekuwa hayana madhara wasingelalamika japan,marekani asingepiga kelele!. Kumbuka alivyojaribu icbm ya kwanza july aliwekewa vikwazo. Kwa iyo huwezi kusema mpk ziwe na nuclea ndo zina madhara.
Na iyo system ya marekan ya kutungulia makombora bado haijawa kamili..
Katika majaribio 10 imefanikiwa kutungua 6.
Islael haijawai kushambuliwa na icbm,just rocket za hisbollah na Syria.
 
Chernobyl disaster inahusu ajali ya kuungua kwa vinu vya kurutubisha Uranium huko Ukraine (wakati huo ikiwa sehemu ya urusi). Vinu hivyo vilikuwa vinazalisha umeme. Ajali ilitokana na uzembe wa watendaji kukosea viwango vya chini vya kuendesha mtambo huo.

Mambo ya msingi kuhusu ajali hiyo:
  1. Kuna watu walikufa pale pale kutokana na mlipuko, na maelfu wengine walikufa miezi na miaka michache baadae kutokana na kansa ya Shingo.
  2. Mionzi ilisambaa kila upande kulingana na hali ya hewa ilivyokuwa inabadilika. Poland na nchi za Scandinavia zilipata mionzi kutoka Chernobyl.
  3. Mpaka leo Chernobyl haikaliki, pamoja na kwamba vinu vilifunikwa na zege. Mionzi huingia hadi kwenye mimea na kuweza kuleta athari kama kansa, kuua nguvu ya uzazi, ulemavu,nk.
  4. Kuna mpango wa kuvifunika kwa mara nyingine vinu hivyo ili walau mionzi iendelee kuzuiwa kwa miaka walau 100!
  5. Propaganda na usiri wa serikali ya kirusi ulichangia kutochukuliwa kwa hatua muhimu za awali kuzuia kuathirika na mionzi.
Nuke ni hatari sana kiasi kwamba wanaoijua hata ndotoni hawaoti Vita inayohusu nuclear. NK ni toto la China na Russia, wao ndo watabanwa kiuchumi ili walidhibiti toto lao.
 
Japan ina uwezo wa kuisambaratisha N korea kwa dakika ila haiwezi sababu baada ya vita ya pili ilisign pact ya kutokupigana na haikuruhusiwa kuwa na jeshi soma masharti ya UN baada ya vita ya pili ya dunia. N. Korea hawajali nani ataishi wala nani atakufa hivyo wapo tayari kutumia nuklia bomb ambayo itaangamiza siyo tu japan hata viumbe around where it will reach. Kwanini marekani inasita kuishambulia n korea ni hilo tu. Pakistani na India wamezozana sana lakini hawawezi tumia ile kitu wataua waliomo na wasiokuwemo.
Vita ya nuklia ni mbaya na yule dogo kichaa anaweza amua kuitumia bila kujali kitu.Hana mtoto ana mke tu hivyo he can finish the dynasty basi.
Kwahyo ww ni mjapan?
Akili za wabongo zmeoza kabisa
 
Kwahyo ww ni mjapan?
Akili za wabongo zmeoza kabisa
Pole yako. Hivi unafikiri mimi mtu mzima nitaandika bila research? Elimu elimu elimu na kutembea mtu unakaa hapo ulipo hujafika hata UK, US, German na nchi zinazotengeneza hivi vitu halafu unaongea. At least ungekuwa unaenda library kusoma ili uone dunia inaendaje.
 
Mkuu yangekuwa hayana madhara wasingelalamika japan,marekani asingepiga kelele!. Kumbuka alivyojaribu icbm ya kwanza july aliwekewa vikwazo. Kwa iyo huwezi kusema mpk ziwe na nuclea ndo zina madhara.
Na iyo system ya marekan ya kutungulia makombora bado haijawa kamili..
Katika majaribio 10 imefanikiwa kutungua 6.
Islael haijawai kushambuliwa na icbm,just rocket za hisbollah na Syria.
Mkuu sijasema hayana madhara, nilichosema ni kwamba hayo makombora anayojarbu NK hayana silaha zozote ndani yake. Kim anachofanya ni kuyajaribu tu kuangalia ufanisi wake kama ambavyo mwezi uliopita Marekani walivyojaribu icbm zao na hivi juzi Urusi kujaribu icbm zao za kurushwa toka kwenye nyambizi.
Halafu icbm sio lazima iwekwe nyuklia tu, inaweza kuwekwa silaha za kikemikali au kibiolojia, nk
System ya Marekani hyo GBMD(ya kutungulia icbm) ipo tayari lakini bado inaendelea na maboresho kama wanavyoboresha system nyingine. Mpaka sasa ufanisi wake ni 55% ukilinganisha na THAAD ambayo ni 100%.
Israel hajawahi shambuliwa na icbm ila wana mfumo wa kuzuia icbm unaitwa Arrow 3.Na mpaka sasa ni nchi tatu tu zenye hyo mifumo ya kutungulia makombora ya icbm ambazo ni
•Israel (Arrow-3)

•Urusi (A-135)

•Marekani (Ground Based Midcourse Defense System)
 
Kama wewe una akili timamu lakini humuogopi chizi aliyeshika panga kiasi cha kuamua kupita karibu yake kisa tu na wewe una panga, werevu lazima tutilie shaka umakini wako. Haiwezekani uwe mtoni unaoga, aje mwendawazimu abebe nguo na kukimbia nazo, halafu na wewe utoke kwenye maji uanze kumkimbiza kisa una mbio sana.

NK ina bargaining chip ambayo ni nuclear weapons. Hakuna nchi itaigusa NK. Hata USA wakitaka kuipiga NK watahitaji timing kali kama ya kumchinja kobe. Nuke haifai, imagine miaka 30 baada ya ajali ya nuke ya Chernobyl, mpaka sasa eneo hili halikaliki.
Sasa kama nuke haifai na ni hatari, kwanini kila kukicha wanarutubsha na kutengeneza silaha.....wanatengeneza za nn sasa ka c kwa ku2mia....watandikane bhn 2one madhara yake sio kila siku kusimuliwa 2....nataka niione hiyo vita ya nuke b4 sijapata 10 shots.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom