simba songea
JF-Expert Member
- Feb 8, 2016
- 1,498
- 1,211
- Thread starter
- #61
Sawa mi ni mbumbu lakini nawe jiulize UN inauwezo wa kuizuia N.K isirushe missile??Hapa umedhihirisha umbumbu wako wa historia. Kwa kukusaidia japan baada ya vita ya dunia ya pili ulizuiwa kuwa n
Hapa umedhihirisha umbumbumbu wako wa historia. Kwa kukusaidia japan baada ya vita ya dunia ya pili ulizuiwa kuwa na slaha kali kali ikawekwa chini ya protaction ya usa. Japan kuna nuclear weapons lakini zinaendeshwa na Usa. Its same applied kwa German .
German pia hawana slaha kubwa kubwa kubwa. Ijapokuwa wanateknoloji kubwa