Kumbe Japan anamgwaya N. Korea.

Japan ina uwezo wa kuisambaratisha N korea kwa dakika ila haiwezi sababu baada ya vita ya pili ilisign pact ya kutokupigana na haikuruhusiwa kuwa na jeshi soma masharti ya UN baada ya vita ya pili ya dunia. N. Korea hawajali nani ataishi wala nani atakufa hivyo wapo tayari kutumia nuklia bomb ambayo itaangamiza siyo tu japan hata viumbe around where it will reach. Kwanini marekani inasita kuishambulia n korea ni hilo tu. Pakistani na India wamezozana sana lakini hawawezi tumia ile kitu wataua waliomo na wasiokuwemo.
Vita ya nuklia ni mbaya na yule dogo kichaa anaweza amua kuitumia bila kujali kitu.Hana mtoto ana mke tu hivyo he can finish the dynasty basi.
Kwa hiyo Japan haina jeshi kwa Maelezo yako
 
Yan nlkuwa najua Japan n kidume kwa N.k lakn kumbe ni maharagwe yalyooza. Yaan pamoja na kuongoza kwa teknolojia duniani lkn kumbe hamna ki2. Yaan Japan n kunguru kw N.K.

Kidume N.K baada y kuskia mjapan kmefurahia baada ya yeye kuwekewa vikwazo vya kiuchumi duniani. kmemchimba "beat" Japan ktamuangamiza kw makombora ya nuclear, et nacho Kilvyo kunguru knasema ktaenda kusema kwa USA ili azuie makombora ya N.K yasitue Japan. Yaan haka kajapan kumbe bure kabsa kanashindwa hat ku2mia ufund wake kumpga mkorea mpk kikaseme kw maandsh ma3? ? Sasa kanasfkaje kw ufund dunian afu kanashindwa ku2mia? ? Huyu nae jpu..
Usiandike Uzi kishabiki, Fanya uchunguzi ujue uwezo WA Japan kijeshi ukoje. Kuropoka mambo hadharani sio ndio uwezo. N. Korea amewahi kupigana na nani? Japan vita ya pili walikuwa moto mpaka waliposhambuliwa na Marekani, wakaona kumbe vita havifai, na wanauguza majeraha hadi Leo tokea 1945! Sasa hapo walipofikia wanaona wakijihusisha na vita matokea yake watarudishwa nyuma, vita vinaharibu uchumi, miundombinu, vinaleta njaa nk. Ndio sababu hata Sasa China hataki vita hata kama ana uwezo. Kama una kumbukumbu Tanzania ilipopigana na Uganda 1978/1979 matokeo yake yalikuwaje! Uchumi umekuja kutengemaa miaka kibao baadae. Halafu unapoandika Uzi wako uwe mfasaha, usiandike kimkato mkato wengine hawatakuelewa.
 
Mkuu hizi chenga!. Japan hana nuclea siraha hata moja!.
Hata siraha zake za kutengeneza zina mwisho wa uwezo wake. Hana kibali cha kutengeneza siraha za nuclea!
Juz hapa walijaribu siraha za kutungulia makombora ya north ila leo wameshindwa kutungua tena!.
Kwa sasa sio South korea au Japan wanaweza kushindana na North kwa siraha!.
Baada ya dakika 6 toka North amerusha Kombora, south wakajibu kwa kurusha makombora mawili kwenye bahari kwa umbali ule ule ambapo north amerusha kombora lake. Lakini hawakuweza kulitungua ilo dude la north
You say true
 
Aliyekwambia kuwa North Korea ana shida na nduguye nani...?
Yaani we we sistahili hata kupoteza muda kumjibu mtu mjinga kama we we.Kama hujui Korea kaskazini na kusini wameishapigana vita zaidi ya Mara mbili na Ni maadui.Na kwamba marekani ameweka kambi kijeshi kusini kwaajili ya kumsaidia kumpiga atakapoleta fyoko.Pole lakini.Jifunze kujisomea uongeze maarifa
 
Yaani we we sistahili hata kupoteza muda kumjibu mtu mjinga kama we we.Kama hujui Korea kaskazini na kusini wameishapigana vita zaidi ya Mara mbili na Ni maadui.Na kwamba marekani ameweka kambi kijeshi kusini kwaajili ya kumsaidia kumpiga atakapoleta fyoko.Pole lakini.Jifunze kujisomea uongeze maarifa
Sawa Mimi mjinga ila hivyo vita walivyo pigana kwa mwenye historian kama ww utuambie chanzo nn...?
 
Back
Top Bottom