salumu mitema
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 241
- 82
We jamaa japo ni pro us lakini lkn sometime unaandka vya maana sana. HongeraMkuu sijasema hayana madhara, nilichosema ni kwamba hayo makombora anayojarbu NK hayana silaha zozote ndani yake. Kim anachofanya ni kuyajaribu tu kuangalia ufanisi wake kama ambavyo mwezi uliopita Marekani walivyojaribu icbm zao na hivi juzi Urusi kujaribu icbm zao za kurushwa toka kwenye nyambizi.
Halafu icbm sio lazima iwekwe nyuklia tu, inaweza kuwekwa silaha za kikemikali au kibiolojia, nk
System ya Marekani hyo GBMD(ya kutungulia icbm) ipo tayari lakini bado inaendelea na maboresho kama wanavyoboresha system nyingine. Mpaka sasa ufanisi wake ni 55% ukilinganisha na THAAD ambayo ni 100%.
Israel hajawahi shambuliwa na icbm ila wana mfumo wa kuzuia icbm unaitwa Arrow 3.Na mpaka sasa ni nchi tatu tu zenye hyo mifumo ya kutungulia makombora ya icbm ambazo ni
•Israel (Arrow-3)
•Urusi (A-135)
•Marekani (Ground Based Midcourse Defense System)