Kumbe Japan anamgwaya N. Korea.

Japan ina uwezo wa kuisambaratisha N korea kwa dakika ila haiwezi sababu baada ya vita ya pili ilisign pact ya kutokupigana na haikuruhusiwa kuwa na jeshi soma masharti ya UN baada ya vita ya pili ya dunia. N. Korea hawajali nani ataishi wala nani atakufa hivyo wapo tayari kutumia nuklia bomb ambayo itaangamiza siyo tu japan hata viumbe around where it will reach. Kwanini marekani inasita kuishambulia n korea ni hilo tu. Pakistani na India wamezozana sana lakini hawawezi tumia ile kitu wataua waliomo na wasiokuwemo.
Vita ya nuklia ni mbaya na yule dogo kichaa anaweza amua kuitumia bila kujali kitu.Hana mtoto ana mke tu hivyo he can finish the dynasty basi.
Umeanza vizuri ukajisahau ukaaharibu mwishoni kwa kuingiza ushabiki. Wewe unajuaje Kim hana mke wala mtoto Ri Sol Ju ni nani
 
Japan ilizitawala nchi nyingi za Asia
China,Korea zote,Philippine na visiwa vingi.Baada ya kushindwa WWII walisini pamoja na Ujerumani
Hakuna kupinga vita.Kwa bahati nzuri wametumia akili zao kutengeneza vitu duniani.Leo hii vitu madhubuti vinatoka Japan na Ujerumani.Bila ya kusahau Japan wanayo Manuklia kibao Kati ya hizo
Zinazalisha umeme.
Eti Japan ina mgwaya NK soma mkuu
Japan hana silaha za Nyuklia usichanganye mitambo ya umeme na silaha. Japan alivuliwa nguo zote baada ya vita ya pili na akawa koloni la USA na hadi leo kiburi cha Japan ni uchumi sio tena ile Nguvu ya miaka ya 40 shuka chini.
Pona ya Japana na South Korea ni USA vinginevyo China yenyewe inaitamani ikalipize Japan kidogo
 
Japan hana silaha za Nyuklia usichanganye mitambo ya umeme na silaha. Japan alivuliwa nguo zote baada ya vita ya pili na akawa koloni la USA na hadi leo kiburi cha Japan ni uchumi sio tena ile Nguvu ya miaka ya 40 shuka chini.
Pona ya Japana na South Korea ni USA vinginevyo China yenyewe inaitamani ikalipize Japan kidogo
Labda Wewe watakuelewa maana wameng'ang'ania hawajui Japan zilipendwa. N. K missile zake zinatishia amani kwa capitalism
 
Japan
.........ndio mbabe pale Kati ila anakumbuka kilichompata wakati wa vita ya pili ingawa katika sura ya dunia ndio nchi pekee iliyoipa USA kichapo kizuri....pearl harbor
Mjapan siyo mbabe. Ubabe wake uliishia vita kuu ya pili. Hii ni kwa sababu baada ya yeye kusalimu amri kutokana na hayo mabomu mawili ya nyuklia, mkataba wa kumaliza vita ulimbana. Hakuruhusiwa tena kuwa na jeshi linaloweza kupigana nje ya taifa lake na hakuruhusiwa tena kutengeneza silaha za mashambulizi isipokuwa za kujilinda. Marekani ilichukua dhamana ya kuilinda Japan na wana askari pale zaidi ya elfu sabini. Kwa teknologia ya Japan, kama akiruhusiwa kutengeneza silaha za kushambulia watarudi kuwa tishio la dunia. Lakini kwa sasa hivi hana jinsi zaidi ya kutegemea ulinzi wa Marekani. Halafu ujue NK ni ya nne duniani kwa kuwa na jeshi kubwa.
 
Mjapan siyo mbabe. Ubabe wake uliishia vita kuu ya pili. Hii ni kwa sababu baada ya yeye kusalimu amri kutokana na hayo mabomu mawili ya nyuklia, mkataba wa kumaliza vita ulimbana. Hakuruhusiwa tena kuwa na jeshi linaloweza kupigana nje ya taifa lake na hakuruhusiwa tena kutengeneza silaha za mashambulizi isipokuwa za kujilinda. Marekani ilichukua dhamana ya kuilinda Japan na wana askari pale zaidi ya elfu sabini. Kwa teknologia ya Japan, kama akiruhusiwa kutengeneza silaha za kushambulia watarudi kuwa tishio la dunia. Lakini kwa sasa hivi hana jinsi zaidi ya kutegemea ulinzi wa Marekani. Halafu ujue NK ni ya nne duniani kwa kuwa na jeshi kubwa.
Mkuu umeelezea vizuri Sana Ila duh! Hao masojaa elfu 70 mbn wengi Sana, Japan wanajeshi wake hawana kazi sasa. Tanzania nzima wapo masojaa elfu 35. Sasa elfu 70 afu wote WA usa duh! Hatari
 
Propaganda za Marekani zimekuharibu
Niambie wewe unaejua N Korea wako vizuri...kama wangekuwa vizuri wangekuwa wanawabembeleza south korea wajenge viwanda mpakani ili wananchi wake wapate ajira?Usipende kuongelea mambo usiyoyajua..
 
Mkuu, kila nchi ina vipaumbele vyake; Japan iliwekeza katika mambo mengine ya msingi na ikasahau ulinzi wakati NK imesahau mambo mengine yote ya msingi and then ikawekeza kila kitu (over 60%) kwenye ulinzi. So Japan anazo pesa and he can do anything but cant protect herself; hiyo ndio tofauti. USA na China wao waliwekeza kote, kwenye ulinzi na mambo mengine ya msingi this is why wamekua wababe wa dunia kwa muda mrefu.
Kwa mtazamo wangu; Korea kama atapigana na taifa lolote walau kwa muda wa mwezi mmoja tu (kama wote wataamua kuto tumia nuclear weapons) then ni rahisi kuomba poo cause hana CHAKULA cha muda huo.
 
Japan wamebanwa na katiba yao iliosadifiwa na Wamarekani, wakiibadilisha hiyo katiba wanauwezo wa kutengeneza silaha yoyote mpaka dunia ikaogopa.
 
Yan nlkuwa najua Japan n kidume kwa N.k lakn kumbe ni maharagwe yalyooza. Yaan pamoja na kuongoza kwa teknolojia duniani lkn kumbe hamna ki2. Yaan Japan n kunguru kw N.K.

Kidume N.K baada y kuskia mjapan kmefurahia baada ya yeye kuwekewa vikwazo vya kiuchumi duniani. kmemchimba "beat" Japan ktamuangamiza kw makombora ya nuclear, et nacho Kilvyo kunguru knasema ktaenda kusema kwa USA ili azuie makombora ya N.K yasitue Japan. Yaan haka kajapan kumbe bure kabsa kanashindwa hat ku2mia ufund wake kumpga mkorea mpk kikaseme kw maandsh ma3? ? Sasa kanasfkaje kw ufund dunian afu kanashindwa ku2mia? ? Huyu nae jpu..
Japan baada ya ile vita ya 2 ya dunia ilitaka kuachana na mambo ya vita kabisa, ilibakiwa na jeshi dogo tu pamoja na silaha chache kabisa ingawaje kiteknolojia wapo vizuri. Ila chokochoko za China na sasa Korea Kaskazin zinaifanya Japan ijijenge upya kivita.
 
Nilitaka nikupuuze,lakini imebidi nikujibu kwasababu hujui historia ya japan na watu wake.Kwanza inaoneka na hujui kuwa hata watu wa korea kwa asili ni kizazi cha mjapan! Inaonekana hujui pia kuwa mjapan amewahi kuwa mkoloni wa mataifa karibia yote ya south asia na north asia!Inaonekana hujui mjapan akiamua kupigana anakuwa kama pepo na hakuna wa kumuweza, muulize kitu marekani alifanywa na mjapan mpaka akaamua achukue maamuzi magumu ya kuteketeza hiroshima na nagasaki kwa nyuklia ili tu kumfanya tu mjapan aache vita,maana alikuwa anamfanyia kitu mbaya.Nadhani hujui mjapan akiamua kuwa mkatili anakuwa mkatili kuliko kitu chochote!Refer kitu japan alifanya Singapore vita ya pili ya dunia.
Cheza na wote usicheze na mjapan dunia hii!Fatilia kujua desturi ya kitu kinaita kamikaze na mashujaa wa samurai ndo unaweza pata idea naongelea nini
Mkuu mambo yanabadilika sna, watu wanambinu mpya na za siri katika vita, mpk mjapani anasema hivyo kaisha ona, vita ambayo tunayo sasa ni cyber war na NK yupo vizuri sana ndio man mjapan anamuogopa
 
Kabla ya kuangalia nani ana uwezo kuliko mwenzake kwanza,
Namshangaa Mtanzania anayeshabikia US ipigwe wakati maisha yake yote kuanzia kuzaliwa kwake ame depend na kodi za Wamarekani.
 
Back
Top Bottom