Kumbe inawezekana: Mwendokasi TANO zinasubiri abiria Mbezi Mwisho

Kumbe inawezekana: Mwendokasi TANO zinasubiri abiria Mbezi Mwisho

ERoni

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
52,350
Reaction score
118,697
Wakuu,
Serikali za kiafrika zina changamoto sana, kwamba bila kushinikizwa na vitisho haziwezi kujisimamia?

Au ni kwa sababu ya uchaguzi, kwamba ukipita wakishapata "ridhaa ya wananchi" tutarudi kukekule?

Hii inaweza kuwa danganya toto, watu wasihadaike maana hawa ccm wanajulikana kwa kuhadaa wananchi.

Wale watumiaji wa mwendokasi naamini wanaiona tofauti sasa, hata sisi tunaoenda mjini kati mara moja moja tunaona tofauti kubwa, magari yapo matano yanasubiri abiria, unbelievable!!
 
Tarehe 29 kirungu kitakusubiri kama hizo mwendokasi zinavyokusubiri
 
Wameona raia wa mwendokasi wana mihemko hivyo wanawapa kile wanataka.
 
Hizo ni janja za kutiki tu, kwa sasa wanahangaikia matumbo ni matupu, ngoja vitambi vyao viisha kushiba wanatia pamba masikioni.
 
Labda kwasababu tarehe 25 naskia atakuwa mbezi mwisho kwa ajili ya kampeni
 
Kwa hiyo tutegemee yaleyale baada ya uchaguzi, kupanga misururu kuanzia saa12 hadi saa3 asubuhi?
Hiyo ni baadae sana, hao wa kimara washajipata labda huko mbagala na kwingineko.
 
Rohoni kazi ilishaisha
Bado utimilifu tu mwilini

Ndo maana tunawashauri watunze fed half zao
Yajayo yanafurahisha
Haleluya ..watu wanacheza na huyu Mungu ...hayaaaa...Mimi naimba tu leo....utavuna ulichopanda pandaaa utavuna ulichopandaaa pandaa
 
Back
Top Bottom