Ukiangalia hizo picha utagundua siyo za siku moja.Picha ya 2 na 3 zimepigwa siku moja, yaani jana, angalia hata nguo alizovaa. Picha ya 4 inaonyesha huyu mtu akiwa either kwenye ofisi yake au ya mtu mwingine na wala si uwanjani.Kwa hoja hii angalia nguo alizovaa ila pia angalia kuta za hicho chumba ni tofauti na zile za uwanjani au vyumba vya uwanja kama vinavyoonekana katika picha nyingine.Huyu ustadh pichani aliingiaje ndani ya vyumba vya ndani ya uwanja na hayo madude yake? Yanga bila ndumba mambo hayaendi.View attachment 1953830View attachment 1953829View attachment 1953828View attachment 1953827
SwaliUkiangalia hizo picha utagundua siyo za siku moja.Picha ya 2 na 3 zimepigwa siku moja, yaani jana, angalia hata nguo alizovaa. Picha ya 4 inaonyesha huyu mtu akiwa either kwenye ofisi yake au ya mtu mwingine na wala si uwanjani.Kwa hoja hii angalia nguo alizovaa ila pia angalia kuta za hicho chumba ni tofauti na zile za uwanjani au vyumba vya uwanja kama vinavyoonekana katika picha nyingine.
Timu hamna nyie acheni visingizio...tushawaona tangu mechi ya mazembe mnaruka ruka tu kama maharage ya soya...haya mlipofungwa na mazembe mlirogwa na nani?Huyu ustadh pichani aliingiaje ndani ya vyumba vya ndani ya uwanja na hayo madude yake? Yanga bila ndumba mambo hayaendi.View attachment 1953830View attachment 1953829View attachment 1953828View attachment 1953827
Edna Maurinho ... Yanga Princess COACH.Na huyo Demu nae ni Mganga au?
Umechemka halafu Edna hayupo Yanga princess alijiuzulu,kama sikoseiEdna Maurinho ... Yanga Princess COACH.
Basi wamefanana, siyo kesi.Umechemka halafu Edna hayupo Yanga princess alijiuzulu,kama sikosei
Umechemka wewe, alisharudiUmechemka halafu Edna hayupo Yanga princess alijiuzulu,kama sikosei
Kwani kuna mtu kasema zimepigwa siku moja au umejitungia swali na kujijibuUkiangalia hizo picha utagundua siyo za siku moja.Picha ya 2 na 3 zimepigwa siku moja, yaani jana, angalia hata nguo alizovaa. Picha ya 4 inaonyesha huyu mtu akiwa either kwenye ofisi yake au ya mtu mwingine na wala si uwanjani.Kwa hoja hii angalia nguo alizovaa ila pia angalia kuta za hicho chumba ni tofauti na zile za uwanjani au vyumba vya uwanja kama vinavyoonekana katika picha nyingine.
Akili huwa unaziwekaga wapi? akiachana na maelezo mengine nimemjibu swali lake kuwa hayo madude hayapo uwanjani bali eneo tofauti kutokana na uchambuzi wa hizo picha. Uwe unakuja huku na akili iliyotulia.Kwani kuna mtu kasema zimepigwa siku moja au umejitungia swali na kujijibu
Alisikika Kijakazi mmoja wa MwamediWACHAWI FC
Lkn huyo kwenye picha hapo si yeye...Umechemka wewe, alisharudi