Kumbe huyu ndio Pangolin.

Kumbe huyu ndio Pangolin.

mimi nahisi ipo haja ya kumpelekea karatasi ya serekali mbili na tatu ili atutabirie
 
kila kitu ambacho kinapatikana kwa uchache eti ni dawa mara ya kansa mara ya utajiri mara ya mapenzi....... da watanganyika tubadilike jamani katka hili na ndo sababu hata albino walitafutwa kuliko pesa zenyewe..huyo ni mnyama kama wengine mambo ya matibabu hizo ni imani tu za watu
 
kila kitu ambacho kinapatikana kwa uchache eti ni dawa mara ya kansa mara ya utajiri mara ya mapenzi....... da watanganyika tubadilike jamani katka hili na ndo sababu hata albino walitafutwa kuliko pesa zenyewe..huyo ni mnyama kama wengine mambo ya matibabu hizo ni imani tu za watu

Ni kweli imani maana wachina wanatibia saratani na waingereza walitumia kutengenezea koti la mfalme wao kujihami kivita (armour) mwaka 1820 1396518315171.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom