Kweli mkuu umesahau lile la watanzania kukataa kumchagua mkimbizi wa Ubelgiji kwenye uchaguzi wa 2020.Historia ni muhimu kwaajili ya baadae, mfano historia aliyotuachia mwendazake ni muhimu kukumbukwa ili siku za baadae tusifanye makosa tena.
kila sehemu unahisi mwendazake yupo.Historia ni muhimu kwaajili ya baadae, mfano historia aliyotuachia mwendazake ni muhimu kukumbukwa ili siku za baadae tusifanye makosa tena.
Kufa mfatekila sehemu unahisi mwendazake yupo.
akili zako zinataka umsahau,ila mattako yako yanatikisika kukumbusha huwezi msahau.
yess,ndio maama tunasema hawezi sahaulika.ila mnapenda ubishi tu.