Ukijituma,ukiweka nia mimi binafsi naamini hakuna kisichowezekanaNgoja ninunue Chopa na mimi 😅😅😅
Hiv haya mabasi ya kwenda mkoani basi moja ni kiasi gani?1.4 bilion ni bei ya mabasi mawili ya sauli na kibunda kingine kinabakia
Yutong,zhong tong, golden deer mil 300Hiv haya mabasi ya kwenda mkoani basi moja ni kiasi gani?
Golden Deer ni aina ya mabasi au ni jina la Kampuni ya mabasi?
Kama zinanunulika anaweza kununua.Kununua ndege my foot..
Kumbe hayo madudu yana bei hivo.
Kama kanunua gari la 1.4B anashindwa vipi kununua private jet?Kununua ndege my foot..
Kama ni hivyo ndoto zangu zimeshakufa teyari niwaachie wenye huo uwezo je vip kuhusu daladala moja ni kiasi gani?
Kwa statement ya Mond TRA walikula 700 millions, na kuna uwezekano pia ikawa hivyo. Meneja wake kasema wamechukua ndege yenye thamani kama ya 13 Billion za kitanzania, acha aishi ndoto zakeduh! Kuna watu Wana hela ile mbaya maana hapo ni kama 1.4B kwa hela za kitanzania bado hapo kodi ya TRA kwa namna hii ninaweza kuamini Diamond anaweza kununua ndege kama alivyosema kuwa mwaka Huu ataleta private jet yake
Mkuu,daladala inategemea mana matajiri wengi au karibia wote hununua used from abroadKama ni hivyo ndoto zangu zimeshakufa teyari niwaachie wenye huo uwezo je vip kuhusu daladala moja ni kiasi gani?
Asante mkuuMkuu,daladala inategemea mana matajiri wengi au karibia wote hununua used from abroad
Zipo za mil 45 Hadi 70 kutegemea na gari,mfano hinno,nissan,coaster nk pia ubora wa gari,idadi ya seats na mwaka,zile eicher (za mbagala na gongolamboto😀) na Tata zinafika mpaka mil 90 +
waone hawa jamaa kimomwemotors kwenye social networks zao ni dealers wa daladala wanaweza kukupa msaada zaidi
View attachment 2222721
hiyo hela ya PJ bora angeshea na wananchi hata hospital ama shule ya sanaa.Kama kanunua gari la 1.4B anashindwa vipi kununua private jet?