Kumbe Hata Wakristo Wana Mahakama Zao?

Kumbe Hata Wakristo Wana Mahakama Zao?

Labda mna mahakama za kusuluhisha ndoa za mashoga maana ni ruksa hata Italy Buchanan

Acha kukurupuka. Uliza ueleweshwe. Biblia iko wazi. Walawiti sehemu yao ni ziwa la moto. Hakuna Mkristo wa dhati aliye shoga. Hao ni makristo wa uongo ambo vilevile ni wakristo wa majina. Kwa hiyo ushoga ni roho ya kuzimu na hina dini. Wako wenye majina ya Kiislamu ambao ni walawiti kama ambavyo wako majina ya Kikristo lakini ni walawiti.
 
Last edited by a moderator:
Hatutautambua. Na ndio maana Tunafanya wenyewe makanisani bila kuitaji msaada wa serekali we mburula. Na kama Dini yenu haitaki kutambua kitu kinachofanywa na serekali basi fanyeni wenyewe kwa hela yenu
Sasa pilipili ya shamba wewe inakuwashia nini?
 
Na wapi biblia ilitamka mulawitiane?

Kwani umesikia watu wanalatiana kwa jina la Mungu?

WAnaolawaitiana wanaweza kua watu wa dini au viongozi wa dini ila wanafanya hayo kwa sababu zao wenyewe sio kwa kua eti Mungu amesema au ni maagizo ya mungu.

Mahakama ya kadhi,kuvua viatu unapoingia msikitini ni vitu vinavyosemekana vya kimungu au ni vya kidini lakini havina backup ya maandiko ya kimungu,yaani kuran haijaandika hivyo wala kuagiza hivyo kwa hiyo hayo sio ya kimungu,ni sawa na ushoga tu.

Sijazungumzia kuua,kuteka,kubaka,ugaidi ambayo yana backup ya kimungu.
 
Kwani umesikia watu wanalatiana kwa jina la Mungu?

WAnaolawaitiana wanaweza kua watu wa dini au viongozi wa dini ila wanafanya hayo kwa sababu zao wenyewe sio kwa kua eti Mungu amesema au ni maagizo ya mungu.

Mahakama ya kadhi,kuvua viatu unapoingia msikitini ni vitu vinavyosemekana vya kimungu au ni vya kidini lakini havina backup ya maandiko ya kimungu,yaani kuran haijaandika hivyo wala kuagiza hivyo kwa hiyo hayo sio ya kimungu,ni sawa na ushoga tu.

Sijazungumzia kuua,kuteka,kubaka,ugaidi ambayo yana backup ya kimungu.
Kama viatu ni vitu vizuri mbona haupandi navyo kitandani kulala navyo?
 
Mfumo wa mahakama uliopo sasa hivi ni wa kikiristo, kwa zaidi ya asilimia 90. Na huu uliachwa na wakolon waingereza ambao walikuwa wakiristo. Kwa maana hiyo basi sheria za nchi ni za kikiristo

sasa hapo umenena toa mapungufu ya hizo mahakama na ni wapi zinaendeshwa kwa minaajili ya dini ya kikristu
 
Mfumo wa mahakama uliopo sasa hivi ni wa kikiristo, kwa zaidi ya asilimia 90. Na huu uliachwa na wakolon waingereza ambao walikuwa wakiristo. Kwa maana hiyo basi sheria za nchi ni za kikiristo

Anzisheni wa kiislam lakini kupitia BAKWATA na mjadili kupitia BAKWATA muamue. Wakristo tunao utaratibu wetu na mtu akikosa hutengwa hadi hapo atakapojua kuwa alitenda dhambi na kuamua kuungama mbele ya waumini na kisha hurudishwa kundini. Hii haipo Serikalini wala kwenye mahakama za nchi ni ya waumini wa dhehebu husika na kila kitu huisha huko huko bila kutegemea chepua ya serikali.
 
Wewe punguani kweli eti Kanisa linatoa misaada kwa serikali misaada gani weka ushahidi, unaokota maneno kwenye vijiwe vya mbege unaleta JF lete data.

Niambie ulishaona wapi watoto wa kikristo wakitembeza mabakuli mtaani kuomba mia mia za siku kuu? Ni kuwa uvivu njaa na majungu mnafundishwa toka utotoni, unategemea nini mtoto anaetembeza bakuli la kuomba aje aongoze taasisi? Amkeni and face the realtiy.
 
Anzisheni wa kiislam lakini kupitia BAKWATA na mjadili kupitia BAKWATA muamue. Wakristo tunao utaratibu wetu na mtu akikosa hutengwa hadi hapo atakapojua kuwa alitenda dhambi na kuamua kuungama mbele ya waumini na kisha hurudishwa kundini. Hii haipo Serikalini wala kwenye mahakama za nchi ni ya waumini wa dhehebu husika na kila kitu huisha huko huko bila kutegemea chepua ya serikali.

Hivi unajua nani aliunda bakwata? Ni serekali chini ya mwenye heri mtarajiwa. akavunja taasisi iliyoundwa na waislam, kisha akaanzisha bakwata.
Je wakiristo walishawahi anzishiwa taasisi?
Kama mnasheria zenu,nani aliwakataza sisitambulike kikatiba? Hamwezi fanya hivyo kwa kuwa sheria zilizopo zinaakisi sheria za mkoloni mwingereza mkiristo ambaye alitunga sheria zenye mfumo wa kikiristo
 
Wakuu,
Kumbe hata Wakristo wana Mahakama zao, Serikali ifike mahali itungie Sheria Mahakama za Kanisa ili zitambuliwe kisheria na kama ikiwezekana Kikatiba! Naomba kutoa hoja!

10653647_884656378222843_2855008467810999438_n.jpg
Safi sana, hiki ndio kitu ambacho wenzetu waislamu wanataka kifanywe na serikali!
Hongera sana Kanisa Katoliki kwa kuonyesha kuwa dini yoyote ikijipanga inaweza kufanya mambo yake ya usuluhishi, mahakama, kufungsha ndoa bila kutubebesha watnzania mzigo wa kodi.

Mahakama ya kadhi waislamu wengi wala hawajui ni kitu gani kimelengwa.
Ila nahisi kuingiza mahakama ya ksdhi kwenye katiba ni kuelekea kuvurugana kiinchi kama tuijuavyo Tanzania.
Wenzetu waislamu hawana utamaduni wa amani katika kufikia maamuzi na makubaliano .
Kama kuna mfano hai ni yale yanayoendelea duniani kwa sasa.
Kuingiza mahakama hii kwenye katiba ni kukaribisha kuichan chana maana watakuja answar sunni, sunni, shia na milengo mbali mbali ya dini hiyo ya kiislamu.

Wangekuwa na umoja unaoonekana wangeunda mahakama yao wenyewe na kuiendesha.
Hili la kutaka matatizo yao yaingilie katiba ni kukaribisha vurugu nchini.
 
kuwa na mahakama si tatizo ila isitegemee mpaka kodi zetu za makafir
 
Poleni sana mliochangia mada hii maana hakuna hata mmoja aliyehoji mahakama hiyo ya kanisa inagharamiwa na nani? Sanasana kuna waliosema inaendeshwa na kanisa lenyewe......Wamepata wapi ushahidi kwamba kanisa ndo linagharamia mahakama hii ya kanisa? Huu ni uzushi ama kuongea kwa kujitetea......
Wengi wanasema masuala ya kidini waachiwe waumini wenyewe lakini wamesahau DDH ni hospitali za kanisa lakini zinagharamiwa na serikali. Kama serikali haina dini imekuwaje igharamie hospitali? Watakuja wakristo wenye msimamo mkali watafafanua eti kwa sababu serikali ilishindwa kujenga hizo hospitali lakini kanisa likajenga ndo maana serikali inasaidia kuziendesha....eti ndo hoja watakayokuja nayo! Waambieni mmesema masuala ya kidini waachiwe waumini wenyewe.....! Kanuni hiyo haibadiliki hata kama serikali ilishindwa kujenga hospitali.......Si masuala ya dini mmesema waachiwe waumini wenyewe? Na serikali si haina dini? Vije leo kwenye hili la hospitali serikali inahusika?
Narudi kwenye mahakama ya kadhi na mahakama ya kanisa.......Mnajua chimbuko la wakristo kuipinga mahakama ya kadhi? Sababu ni mbili....Ya kwanza wanaona ile ruzuku inayotolewa na serikali kugharamia mahakama ya kanisa itapungua kama mahakama ya kadhi nayo itategemea fedha hizohizo.
Sababu ya pili wakristo wanadhani mahakama ya kadhi itawahukumu na wao....yaani mtu akiiba atakatwa mkono, akizini atapigwa maye mpaka kufa na kadhalika kama ambavyo wanahisi sheria za uislamu ni za kuuaua watu ovyo. Pole sana kwa mawazo haya.
Nawaomba wataalamu wa dini ya kikristo wanieleze hiyo mahakama ya kanisa inagharamiwa na kanisa kweli. Na je fedha hizo ni fungu lipi la kanisa? Au wana generalize tu?
Pia wanielezee balozi wa Vatikani nchini Tanzania anagharamiwa na nani anapokuwa Tanzania? Wawe wakweli.......!
Usiogope kuwa mkweli kwa kudhani kwamba ule uonevu unaomfanyia mwenzio asipate haki yake ukisema ukweli utakuwa umempa ushindi.
Kuwa mkweli katika hoja zako.
 
Hivi unajua nani aliunda bakwata? Ni serekali chini ya mwenye heri mtarajiwa. akavunja taasisi iliyoundwa na waislam, kisha akaanzisha bakwata.
Je wakiristo walishawahi anzishiwa taasisi?
Kama mnasheria zenu,nani aliwakataza sisitambulike kikatiba? Hamwezi fanya hivyo kwa kuwa sheria zilizopo zinaakisi sheria za mkoloni mwingereza mkiristo ambaye alitunga sheria zenye mfumo wa kikiristo

Hivi nani kaunda bokoharam,alishababu,nk
 
Kama viatu ni vitu vizuri mbona haupandi navyo kitandani kulala navyo?

Kwa hiyo kwa kua hatupandi kulala navyo basi mungu hataki viingia kwenye nyumba ya ibada?

Mbona hata nguo hatupandi kulala nazo kwa nini hamzivui mkiingia msikitini?

Swali bado liko pale pale,wapi kwenye quran pameagiza kuvua viatu uingiapo msikitini?wapi pameagiza uanzishwaji wa mahakama ya kadhi?

Mahakama ya kadhi ni sawa na ushoga kanisani,vyote havina backup ya maandiko ya mungu na tofauti yake ni kua kadhi hudaiwa ni agizo la mungu bila ushahidi.
 
Poleni sana mliochangia mada hii maana hakuna hata mmoja aliyehoji mahakama hiyo ya kanisa inagharamiwa na nani? Sanasana kuna waliosema inaendeshwa na kanisa lenyewe......Wamepata wapi ushahidi kwamba kanisa ndo linagharamia mahakama hii ya kanisa? Huu ni uzushi ama kuongea kwa kujitetea......
Wengi wanasema masuala ya kidini waachiwe waumini wenyewe lakini wamesahau DDH ni hospitali za kanisa lakini zinagharamiwa na serikali. Kama serikali haina dini imekuwaje igharamie hospitali? Watakuja wakristo wenye msimamo mkali watafafanua eti kwa sababu serikali ilishindwa kujenga hizo hospitali lakini kanisa likajenga ndo maana serikali inasaidia kuziendesha....eti ndo hoja watakayokuja nayo! Waambieni mmesema masuala ya kidini waachiwe waumini wenyewe.....! Kanuni hiyo haibadiliki hata kama serikali ilishindwa kujenga hospitali.......Si masuala ya dini mmesema waachiwe waumini wenyewe? Na serikali si haina dini? Vije leo kwenye hili la hospitali serikali inahusika?
Narudi kwenye mahakama ya kadhi na mahakama ya kanisa.......Mnajua chimbuko la wakristo kuipinga mahakama ya kadhi? Sababu ni mbili....Ya kwanza wanaona ile ruzuku inayotolewa na serikali kugharamia mahakama ya kanisa itapungua kama mahakama ya kadhi nayo itategemea fedha hizohizo.
Sababu ya pili wakristo wanadhani mahakama ya kadhi itawahukumu na wao....yaani mtu akiiba atakatwa mkono, akizini atapigwa maye mpaka kufa na kadhalika kama ambavyo wanahisi sheria za uislamu ni za kuuaua watu ovyo. Pole sana kwa mawazo haya.
Nawaomba wataalamu wa dini ya kikristo wanieleze hiyo mahakama ya kanisa inagharamiwa na kanisa kweli. Na je fedha hizo ni fungu lipi la kanisa? Au wana generalize tu?
Pia wanielezee balozi wa Vatikani nchini Tanzania anagharamiwa na nani anapokuwa Tanzania? Wawe wakweli.......!
Usiogope kuwa mkweli kwa kudhani kwamba ule uonevu unaomfanyia mwenzio asipate haki yake ukisema ukweli utakuwa umempa ushindi.
Kuwa mkweli katika hoja zako.
1.Serikali inatoa ruzuku kwenye hospital za kanisa Kama vile KCMC Moshi,BUNGANDO nk. Kutokana na hizi hospital kuudumia watz wote hasa wajawazito na watoto wadogo,wenye TB nk Bure.
2.Kanisa lina mabaraza yenye kushughulikia matatizo ya ndoa yanayotokea kwa waumini wake na sio mahakama Kama hi ya kadhi na aipati at a cent toka serikalini.
 
Hospitali za dini na za serikali gharama za matibabu zinalingana linganisha hata Bugando na Muhimbili, halafu ujue wanufaika wakubwa ni wananchi wakiwemo waislamu mfano mwaka jana mwezi wa tisa zaidi ya 65% wagonjwa waliotibiwa Bugando walikuwa waislamu na hii ilitokana na mfungo wa ramadhan watu wakaamsha magonjwa.

We f*l* nilikuwa sitaki kuchangia hii mada lakini kwa ujinga ulioonesha wacha nikujibu. Aliyekwambia mwezi wa ramadhani huamsha magonjwa ni nani? Ndo elimu mnayofundhishwa makanisani ili muone waislamu tunapofunga huwa tunakosea? Tumbaku.....! Hayo manguruwe yenu ndo yanaleta maradhi na si mwezi wa ramadhani! Funga ni dawa wewe......ukiwa na kitambi chako kisicho na mpangilio wewe funga siku 30 kama wafanyavyo waislamu utapona...hutahangaika na kutembea makilometa ili kupunguza kitambi.
Eti huwa mnajifariji kwa kutuponda waislamu kwamba huwa tunabadilisha muda wa kula tu na wala hiyo tufanyayo huwa siyo funga.....! Pole sana...
nauliza na ninyi si mumeamriwa kufunga? Huwa mnafunga kama sisi kuannzia alfajiri mpaka jioni? Thubutu.......Mimi huwa naona mnapunguza idadi ya bia mnazokunywa tu. Sijawahi kukutana na mristo ananuka mdomo wa kukosa kula kutwa nzima. Mtu aliyefunga utamjua tu hata akipiga mswaki namna gani harufu ya mdomoni utaisikia. Uelewe kuna harufu fulani ya kukosa kula na si harufu ya kawaida ya mdomoni. Uwe mwelewa. Funga ni dawa wewe acha ugalatia wako....
 
1.Serikali inatoa ruzuku kwenye hospital za kanisa Kama vile KCMC Moshi,BUNGANDO nk. Kutokana na hizi hospital kuudumia watz wote hasa wajawazito na watoto wadogo,wenye TB nk Bure.
2.Kanisa lina mabaraza yenye kushughulikia matatizo ya ndoa yanayotokea kwa waumini wake na sio mahakama Kama hi ya kadhi na aipati at a cent toka serikalini.


Usijifanye hujanielewa hoja zangu. Serikali inahusika vipi na kitu ambacho si cha kiserikali? Si mmesema masuala ya dini serikali isihusike? Sasa hapa inahusikaje? Usisingizie kuwa inahudumia watanzania wote! Huo ni uongo....wengine hawatibiwi hapo. Ondoa sababu kisa eti inahudumia watanzania wote. Mauala ya dini waachiwe dini yenyewe...ndo kanuni. No exception!!!!
Tumesema mahakam ya kanisa mbona wewe umegeuza unasema mabaraza ya kanisa? Kwa nini unakwepa kutumia neno "mahakama ya kanisa?' Unaogopa nini? Acha kukwepa hoja.....!
 
Ukiangalia vyema hilo tangazo limetolewa na jeshi la polisi likiwa na backup ya rb ya polisi.

so to say that mahakama hizo za kanisa zinatambuliwa kisheria kwann mahakma za kadhi zisitambuliwe na sheria za jamhuri ya muungano Wa tanzania?
 
Back
Top Bottom