Mkuu,
Pana lolote nami ati nichangie ama ...!?
Niwie radhi maana majukumu yalinikinza, daah!
Ndo sasa naona wito wako hapa.
Ahsanta na tuendelee kuwafuatiza waerevu wetu ikiwa sisi hatuna ilimu nalo.
.... nipo kipembeni hapa.
Nimependa sana kufahamu HABARI hii. Mbona wakristo hawadai mahakama yao iwekwe kwenye katiba na itambulike kisheria?
ha ha ha... ngoja aje ritz ,faizafoxy,simiyu yao, na wengineo ..... hii thread wataichafua na hawachelew kutangaza ..... haya, mi naangalia tu. salaam aleikhum.
Kama ilivyo kuua viatu unapoingia msikitini. Hakuna aya inayosema lazima uvue viatu.
Vitu vingine vinalazimishwa ila havina backup kwenye qurani.
Labda mna mahakama za kusuluhisha ndoa za mashoga maana ni ruksa hata Italy Buchanan
Waislamu wanalo la kujifunza kwa utaratibu huu!
Wakuu,
Kumbe hata Wakristo wana Mahakama zao, Serikali ifike mahali itungie Sheria Mahakama za Kanisa ili zitambuliwe kisheria na kama ikiwezekana Kikatiba! Naomba kutoa hoja!
![]()
Hata serikali wanajua fika hilo jambo hiwezekani na halitakuja kuja kuwezekana.Hata Rais akiwa nani? Hivi ni sababu zipi zinazopelekea kuitaka serikali kuwaanzishia mahakama zenu,kwa nini msianzishe wenyewe na kuzigharamia nyinyi wenyewe kama wanavyofanya wakirsto.Au nyinyi ni bora kuliko wengine.?Serikali ilishatamka tena kwa kuweka kwenye katiba ya nchi kuwa haina DINI,na itambulike kuwa ndoa na mirathi ipo kwa mujibu wa sharia na taratibu za kiislamu.Sasa sijui mnapinga nini kuhusu mahakama ya kadhi kwa ajili ya mambo ya kiislamu?
After all hakuna aya yoyote ndani ya Qur'an inayosema kuwa Mahakama za Kadhi LAZIMA zianzishwe na kuendeshwa na Serikali!!
Halafu waislam wanataka sisi Wakristo tutoe kodi zetu kuhudumia ndoa zao za mitala zisizoisha mtu anakuwa na bidii ya kuoa hata kuliko kusoma. YESU KRISTO alisema "Mke mmoja Mume mmoja" zaidi ya hapo anasema wahusika wanafanya zinaa.
Nasema kamwe kodi yangu isishughulikie UZINIFU. Waacheni wazinifu waushughulikie uzinifu wao.
Mfumo wa mahakama uliopo sasa hivi ni wa kikiristo, kwa zaidi ya asilimia 90. Na huu uliachwa na wakolon waingereza ambao walikuwa wakiristo. Kwa maana hiyo basi sheria za nchi ni za kikiristo
Hivi leo mkuu wa wilaya akimbatiza muumini wa kikristo ubatizo wake unatambuliwa na kanisa?