Kumbe Hata Wakristo Wana Mahakama Zao?

Kumbe Hata Wakristo Wana Mahakama Zao?

Wewe na wachangiaji wote waliotetea mahakama ya kanisa inagharamiwa na kanisa ni waongo. Hakuna ushahidi usio na shaka waliouleta.
Mimi nitoe ushahidi kidogo tu. Hilo tangazo limetolewa na polisi. Je kanisa lina polisi wake? Jibu ni hapana...Wametumia jeshi la polisi la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania....! In maana kuna gharama pale....Ni nani amelipa gharama za polisi kushughulika kesi hiyo ya ndoa? Polisi aliyeandika RB kwenye mshahara wake wata u-"apportion" part ya huo mshahara kiasi ulipwe na serikali na kiasi ulipwe na kanisa? Maana alishughulikia masuala ya dini ambayo tumesema yasigharamiwe na serikali......! Si ndiyo jamani?
Nije kwenye mahakama ya kadhi. Huwa haitumii jeshi la polisi!!!! Unaletewa barua ya kawaida tu kuitwa kwenye wito wa mahakama ya kadhi. Wenzetu wanatumia serikali!!!! Ni nani anayegharamia administrative expenses za mahakama ya kanisa....?
Kwa hiyo kwa kuwa makahama ya kanisa inatambuliwa na serikali kunavurugu zozote zimeshatokea ama ni kwa mahakama ya kadhi tu?????
Katiba inaitambua mahakama ya kanisa ndo maana polisi wanatumika. maana yake kama mtu atakaidi wito kwenye RB hapo juu maana yake polisi watamkamata kwa nguvu na kumpeleka mahakamani (huko kanisani). Na atawekwa mahabusi gani?
Mbona mahakama ya kanisa inatambulika na serikali je katiba imeshachanwachanwa? Maana umesema watakuja answar sunna, sunni nk. kwa hiyo ni vurugu....! Mbona hatujaona KKKT, Wasabato, Anglican nao wametaka mahakama ya kanisa? Kumeshatokea vurugu? Tafakari sana acha chuki za kidini wewe.....
Mmekamstwa pabaya, na uzandiki wenu sasa upo peupe.L
Leo hii mwislamu wa sunni ana mchinja mwislamu mwenziwe wa shia, halafu mwataka haya ysingie kwenye katiba.
Islamu sass hivi imegawanyika dunia nzima kuwa vikundi vya wauaji na watu wa maasi.
Mahaksma anzisheni wenyewe wenye uchungu nayo ili mkatane vichwa na kuchomana moto.
Tatixo lako mtoa posti hujui hata matskwa ya dini yako hafi unaegemea kwenye ukristo, ati tangazo limetolewa na polisi!!!

Ielewe dini yako ili masuala yenu yamalizike huko huko.Ulazimishaji wa uingizaji wa uislamu katika katiba kutasababisha kupsua boti ili tugawane mbso.
 
We usiwe kilaza. Sheria ya nini unaitaka? We anzisha mahakama yako tu huko mtaani kisha nenda polisi uombe wakutolee tangazo kwamba kuna mtu unamuhitaji aje kujibu mashtaka kwenye mahakama yako uone kama tangazo hilo litatolewa. Usiwe mbumbumbu. Ukiuona ukweli kubali tu acha kupindisha........

Soma hoja ilianzia wapi ndio utoe hoja yako!
 
Hivi unajua nani aliunda bakwata? Ni serekali chini ya mwenye heri mtarajiwa. akavunja taasisi iliyoundwa na waislam, kisha akaanzisha bakwata.
Je wakiristo walishawahi anzishiwa taasisi?
Kama mnasheria zenu,nani aliwakataza sisitambulike kikatiba? Hamwezi fanya hivyo kwa kuwa sheria zilizopo zinaakisi sheria za mkoloni mwingereza mkiristo ambaye alitunga sheria zenye mfumo wa kikiristo

Kama Waislamu kuundiwa BAKWATA ni vibaya, kwa nini wanalia lia waundiwe Mahakama?
 
Soma hoja ilianzia wapi ndio utoe hoja yako!

Hoja zenu tunazijua. Nazo ni Kanisa kulipiwa gharama na serikali ni haki kisingizio hospitali na mashule wanazoma watanzania wote. Uongo mkubwa......Ukisoma shule za kikristo nawe ni mwislamu kufaulu ni mbinde. Ni lazima wakulishe manguruwe na kukulazimisha kumwabudu binadamu Yesu au mama yake akiwa katika mfano wa kinyago.
Ila uislamu kufadhiliwa kidogo tu na serikali ni nongwa!!!! Mnaona uchungu. Hizo ndo hoja zenu. Upo?
 
Ukiangalia vyema hilo tangazo limetolewa na jeshi la polisi likiwa na backup ya rb ya polisi.

so to say that mahakama hizo za kanisa zinatambuliwa kisheria kwann mahakma za kadhi zisitambuliwe na sheria za jamhuri ya muungano Wa tanzania?

kuna matangazo matatu kwa hilo bandiko yote yapo kwenye vibox box, hilo tangazo la polisi ni jingine. na chini kuna tangazo jingine kwenye kibox kingine.
 
Kama Waislamu kuundiwa BAKWATA ni vibaya, kwa nini wanalia lia waundiwe Mahakama?

Hiyo BAKWATA si ndo ina mapungufu haina mahakama we bweg**** huelewi nini wewe? Kwani mbona ninyi wakristo mnataasisi za elimu, afya na mahakama ya kanisa mbona mnazidi kuongeza tu na sasa mna taasisi za fedha? Swali gani unalouliza utafikiri unatoka chooni?
 
kuna matangazo matatu kwa hilo bandiko yote yapo kwenye vibox box, hilo tangazo la polisi ni jingine. na chini kuna tangazo jingine kwenye kibox kingine.

Mwambie aliyelileta siyo sisi tunayelisoma. au alitegeshea ili apatae pa kuchomokea? Hachomoki ng'o!!! Imefichuka leo kumbe kanisa lina mahakama yake ila linakataa wailsamu wasiwe na mahakama kwa sababu ya wivu. Eti tutakuwa sawa na ruzuku itapungua maana walidhani ni siri hatuju kwamba serikali inaligharamia kanisa. Pole sana wabaguzi wa kidini na hasa wakristo wa nchi hii. Mmetubagua maofisini hamtupandishi cheo miaka nenda miaka rudi hamjatosheka tu?
 
Vilaza kama ninyi hampaswi kabisa kuwapo duniani. Ndo maana wakristo wote watakwenda motoni (kwa mujibu wa biblia). Kwani mahakama ya kadhi inahudumia wakristo tu? Hivi hao mapadri wanaowatia mimba dada zetu wa kiislamu wakati wa mirathi unafikiri hawatatoa haki kisa baba yake ni mkatoliki na pia kwa kuwa amezuia kufanya mapenzi (hadi kuzaa) mahakama ya kadhi itamkataa? Acheni umbumbumbu ninyi. Kama mahospitali mnadai yanahudumia watu wote hata mahakama ya kadhi inashughulika na watu wote. Mnajifanya hamuupendi uislamu wakat wahasibu wote wanapofayna CPA ama sheria lazima wausome uislamu. Chuki binafsi tu. Kama uislamu si kitu cha maana basi wanaosomea upadri wasingefundishwa Quran. Mtadai eti huwa wanafundishwa ili waweze kuujua....uongo....! Hakuna andiko lolote kwenye biblia linalomtaka mkristo aujue uislamu bali Quran ndo unataka mwislamu aujue ukristo.....!!! Mpo wagalatia? Au aliyewaroga alikwisha fariki?

Mkuu wewe ni Mungu mpaka uamue nani awepo duniani na nani asiwepo? Na hiyo Quran lazima tuisome ili tuwakaange kwa mafuta yenu wenyewe! After all Muhammad, "mtume" wenu kwa kuwa hakujua kusoma wala kuandika ali-copy na ku-paste (alidesa) mambo mengi toka kwenye Biblia akijidai kuwa kashushiwa na Jibrili!
 
Mwambie aliyelileta siyo sisi tunayelisoma. au alitegeshea ili apatae pa kuchomokea? Hachomoki ng'o!!! Imefichuka leo kumbe kanisa lina mahakama yake ila linakataa wailsamu wasiwe na mahakama kwa sababu ya wivu. Eti tutakuwa sawa na ruzuku itapungua maana walidhani ni siri hatuju kwamba serikali inaligharamia kanisa. Pole sana wabaguzi wa kidini na hasa wakristo wa nchi hii. Mmetubagua maofisini hamtupandishi cheo miaka nenda miaka rudi hamjatosheka tu?

mkuu nijibu maswali mawili?

1. BAKWATA ilianzishwa na serikali je waislam mnaikubali?
2. Mahakama ya Kadhi ikianzishwa na serikali je waislam mtaikubali?


nyongeza...

Hakuna mtu anayewakataza waislam kuanzisha mahakama ya kadhi, ishu ni kutumia kodi za serikali kutaka kuendesha mahakama hiyo ya dini fulani, na wakati serikali haina dini.
 
Mkuu wewe ni Mungu mpaka uamue nani awepo duniani na nani asiwepo? Na hiyo Quran lazima tuisome ili tuwakaange kwa mafuta yenu wenyewe! After all Muhammad, "mtume" wenu kwa kuwa hakujua kusoma wala kuandika ali-copy na ku-paste (alidesa) mambo mengi toka kwenye Biblia akijidai kuwa kashushiwa na Jibrili!


Kumbe mtume hakujua kusoma wala kuandika? Alaa kumbe? Kama hajui kusoma wala kuandika ali kopi vipi na alipesti vipi? Ni lazima ujue kusoma na kuandika ndo ujue kukopi na ujue unapesti wapi. Kama alikopi tuambie alikopi kwa nani? Sasa hebu nitajie shule aliyosoma Mungu wenu Yesu. Mwalimu wake alikuwa anaitwa mchungaji nani na alifundishwa miaka mingapi...Ukiweza kutaja (najua utaleta longolongo tu) nitajua kweli wewe ni mwalimu usiyejua kukopi na kupesti nayo ni elimu.....
 
Umeshiba Nguruwe wewe...........

na nguruwe ni mtamu saana, jaribu siku moja kuonja, hutaacha!

---mahakama ya kadhi ikianzishwa na kuhudumiwa na serikali na sisi tunaobudu dini za jadi na mizimu na matambiko, tutaka mahakama yetu ianzishwe na serikali!
 
mkuu nijibu maswali mawili?

1. BAKWATA ilianzishwa na serikali je waislam mnaikubali?
2. Mahakama ya Kadi ikianzishwa na serikali mtaikubali?


nyongeza...

Hakuna mtu anayewakataza waislam kuanzisha mahakama ya kadhi, ishu ni kutumia kodi za serikali kutaka kuendesha mahakama hiyo ya dini fulani, na wakati serikali haina dini.

1. BAKWATA ilianzishwa na serikali ili kuua uislamu.
2. Mahakam ya kadhi haitaanzishwa maana ni tishio kwa ukristu....
 
Wakuu,
Kumbe hata Wakristo wana Mahakama zao, Serikali ifike mahali itungie Sheria Mahakama za Kanisa ili zitambuliwe kisheria na kama ikiwezekana Kikatiba! Naomba kutoa hoja!

10653647_884656378222843_2855008467810999438_n.jpg

ni kweli, na hawana shida ya kukimbizia kila kitu bungeni... ni ishara mbaya ya udhaifu kila kitu kukipeleka kwa akina Mrema na kibajaji
 
1. BAKWATA ilianzishwa na serikali ili kuua uislamu.
2. Mahakam ya kadhi haitaanzishwa maana ni tishio kwa ukristu....

acctually serikali haitaki kuingilia mahakama ya kadhi kwasababu mtasema serikali in nia ya kuua kabisa uislamu

you cant have double standard kwenye the same thing

serikali imetumia akili sana kukwepa huo msala unaowashinda hata nyie wenyewe
 
1. BAKWATA ilianzishwa na serikali ili kuua uislamu.
2. Mahakam ya kadhi haitaanzishwa maana ni tishio kwa ukristu....

kama unajua na unahisi haitaanzshwa usiwe unapoteza muda kujadili hili.... piga kimya.
 
na nguruwe ni mtamu saana, jaribu siku moja kuonja, hutaacha!

---mahakama ya kadhi ikianzishwa na kuhudumiwa na serikali na sisi tunaobudu dini za jadi na mizimu na matambiko, tutaka mahakama yetu ianzishwe na serikali!

Kwa hiyo mnaihurumia serikali itakuwa na mzigo wa gharama kuzihudumia hizo mahakama? Hiyo hoja kila siku mnaisema kwa kudhani ni hoja ya kisomi....kumbe ni utumbo mtupu. Mnaisemea serikali kwani ninyi ni kina nani? Mbona serikali haijawahi kutamka hayo maneno kwamba tukiwaruhusu waislamu wawe na mahakama yao na waabudu mizimu nao watataka. Au kwa kuwa wakristo wanayo mahakama yao na serikali inagharamia (ingawa mnajifanya kuficha eti inahudumia na wakristo jambo ambalo siyo kweli) ndo mmegundua madhehebu mengi yatakuwa na mahakama zao kwa hiyo mnaona huruma ama mnaona na wao watafaidi? tatizo ni nini? Mbona serikali sijasikia ikikataza watu kuzaana maana wakiugua hospitali zitaelemewa ila hili liwe kwa mahakama ya kadhi tu? Hoja zenu dhaifu....
Serikali ikiona mahakama zimekuwa nyingi itafanya kama ilivyofanya kwenye shule za kata ili iweze kuzihudumi. Kaa chini huna hoja wewe. Mbona shule za kata serikali haijapunguza idadi ya watu kuzaana kama inaona ni gharama kusomesha?
 
kama unajua na unahisi haitaanzshwa usiwe unapoteza muda kujadili hili.... piga kimya.

Nimekujibu kulingana na akili zako mbovu za kigalatia. Mtu aliyerogwa ukiongea naye kwa merit ni kupoteza muda tu. Mnyau paka Mnyau tufuate sauti yake!
 
acctually serikali haitaki kuingilia mahakama ya kadhi kwasababu mtasema serikali in nia ya kuua kabisa uislamu

you cant have double standard kwenye the same thing

serikali imetumia akili sana kukwepa huo msala unaowashinda hata nyie wenyewe

Serikali imeufyata kwa wakristo kwa maana mbili. Ya kwanza wao wana mahakama na serikali inaihudumia lakini kwa waislamu ndo nongwa. Pili, walioikataa mahakama ya kadhi ni wakristo na serikali imewasikiliza. Upo? Akili ya serikali iko mfukoni mwa wakristo.......
 
Back
Top Bottom