Sio suala jipya kusikia mahakama za Kanisa hasa Kanisa Katoliki. Kila jimbo au kanda ya Kanisa ina mahakama yake na majaji pia.
Kesi zinazohusu masuala ya kiimani au kiutaratibu wa Kanisa husikilizwa na kutolewa uamuzi. Wakati mwingine kesi ngumu hupelekwa Roma kwa maamuzi ya juu zaidi kwani mahakama ya Roman, The Roman Tribunal ndiyo yenye uwezo wa mwisho wa kutatua mambo fulanifulani.
Lakini mahakama hizi haziingilii kazi za mahakama za kidunia na wala haziendeshwi kwa fedha za serikali kama wanavyotaka waislamu
Soma hapa:
Ecclesiastical court - Wikipedia, the free encyclopedia