kanisa lililoruhusu ushoga ni anglican la uingereza na marekani, ambalo kwa tz ni asilimia ndogo sana wengi wapo DODOMA na mtwara tu, wakristo wengine wooote wanaipinga hiyo issue. tatizo huwa mkisikia wakristo huwa mnafikiri wana imani moja na wana dhehebu moja. mimi sio muanglican wala mkatoliki, imani yangu pamoja na kwamba ni mkristo, ni kinyume kabisa na mkatoliki, ni vitu viwili kabisa. lakini kwa muislam utasikia watajumuisha sisi wote kwenye kapu moja. kuna wakristo wengi tu ambao wapo kwenye kapu moja na ninyi kwa kutowafagilia wakatoliki na waanglican, na kama tukidai mahakama zetu mbona patachimbika.